Barnabas Mashamba
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,074
- 2,878
Sijaanza kuitangaza. Kwa sasa waliokuwa wanakunywa dawa ndiyo walikuwa wanaleta wengine kunywa.Aiseee kama ni kweli mbona hauitangazi dawa? Ndiyo kwanza naona leo tangazo lako au kama kuna sehemu ulishawahi kutangaza ,iwe facebook ,insta,tiktok au banners mitaani ebu screenshpot/piga picha tuone ,nikupe benefit of doubt.
Mfano mtu A ana tatizo akinywa na anajua rafiki yake B naye ana tatizo hilo, mtu A kwa kupona kwake atamjulisha B kuhusu dawa na B atakuja na mlolongo utaendelea.