Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Mbona kama umeshajaliwa kuvuka changamoto za maisha ya kijana na mwanaume kwa 50%
Kwangu mimi maisha yangekuwa bomba sana kama kusinge kuwa na kitu kinachoitwa ngono.
Ila ndio hivyo tunasimamisha hamna namna ya kutekeleza matakwa ya huyo mjomba japo inagarimu si kidogo
 
Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Umeoa?
 
Japo tangazo nitaleta rasmi kuanzia mwezi wa nane, ila ngoja nikupe kwa kuanzia.

Andaa Tsh 1,000,000/= kama gharama ya dawa, then tafuta mwanamke, ukishapata hivyo viwili nipigie kwa Namba nitakayokupatia hapa chini.

Utakuja nilipo, nitakupa dawa (mwanamke utakayekuwa naye ni kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo), yaani dawa hiyo unakunywa Kisha kinafuata kitendo (ingawa si dawa zote ni za kunywa).

Tambua hivi, utaondoka baada ya kujiridhisha kuwa kazi inafanyika kisawasawa na inasonga mbele.

Dawa hiyo hata yule hajawahi simamisha kabisa inamfaa.

N.b. Kama hutakuwa na mwanamke aliye tayari kusafiri na wewe, utakuja na nitatafuta mwanamke hukuhuku (utakuja na pesa ya kumlipa huyo mwanamke atakayekuwa na wewe kukuhudumia kitandani).

Pia, kama shughuli zako zitakubana usiweze kusafiri kuja nilipo, utalipia usafiri wa Mimi kukufuata ulipo. Nitakuja, nitakupa dawa muhimu lazima uwe na mwanamke kwa ajili ya practical (maana ili ujue kama dawa inafanya kazi, ni lazima baada ya kunywa ufanye kitendo sasa si kunywa dawa tu).

Kama kweli uko serious na tatizo, nipigie katika Namba.

0650 140 211
Hii imekaa vizuri Hadi nimemeza mate!!!aiseh wewe konki!!!
 
Kama inasimama unapojichua hilo siyo tatizo la nguvu za kiume!

Porojo nyingi za wauza "mikuyati" mitandaoni zimewapotezea confidence vijana na kuhisi wana shida.
 
Japo tangazo nitaleta rasmi kuanzia mwezi wa nane, ila ngoja nikupe kwa kuanzia.

Andaa Tsh 1,000,000/= kama gharama ya dawa, then tafuta mwanamke, ukishapata hivyo viwili nipigie kwa Namba nitakayokupatia hapa chini.

Utakuja nilipo, nitakupa dawa (mwanamke utakayekuwa naye ni kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo), yaani dawa hiyo unakunywa Kisha kinafuata kitendo (ingawa si dawa zote ni za kunywa).

Tambua hivi, utaondoka baada ya kujiridhisha kuwa kazi inafanyika kisawasawa na inasonga mbele.

Dawa hiyo hata yule hajawahi simamisha kabisa inamfaa.

N.b. Kama hutakuwa na mwanamke aliye tayari kusafiri na wewe, utakuja na nitatafuta mwanamke hukuhuku (utakuja na pesa ya kumlipa huyo mwanamke atakayekuwa na wewe kukuhudumia kitandani).

Pia, kama shughuli zako zitakubana usiweze kusafiri kuja nilipo, utalipia usafiri wa Mimi kukufuata ulipo. Nitakuja, nitakupa dawa muhimu lazima uwe na mwanamke kwa ajili ya practical (maana ili ujue kama dawa inafanya kazi, ni lazima baada ya kunywa ufanye kitendo sasa si kunywa dawa tu).

Kama kweli uko serious na tatizo, nipigie katika Namba.

0650 140 211
Sijajua huenda hiyo unaipata kwa tabu sana, lakini hiyo haiendani na uhalisia wa kitabibu.
 
Japo tangazo nitaleta rasmi kuanzia mwezi wa nane, ila ngoja nikupe kwa kuanzia.

Andaa Tsh 1,000,000/= kama gharama ya dawa, then tafuta mwanamke, ukishapata hivyo viwili nipigie kwa Namba nitakayokupatia hapa chini.

Utakuja nilipo, nitakupa dawa (mwanamke utakayekuwa naye ni kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo), yaani dawa hiyo unakunywa Kisha kinafuata kitendo (ingawa si dawa zote ni za kunywa).

Tambua hivi, utaondoka baada ya kujiridhisha kuwa kazi inafanyika kisawasawa na inasonga mbele.

Dawa hiyo hata yule hajawahi simamisha kabisa inamfaa.

N.b. Kama hutakuwa na mwanamke aliye tayari kusafiri na wewe, utakuja na nitatafuta mwanamke hukuhuku (utakuja na pesa ya kumlipa huyo mwanamke atakayekuwa na wewe kukuhudumia kitandani).

Pia, kama shughuli zako zitakubana usiweze kusafiri kuja nilipo, utalipia usafiri wa Mimi kukufuata ulipo. Nitakuja, nitakupa dawa muhimu lazima uwe na mwanamke kwa ajili ya practical (maana ili ujue kama dawa inafanya kazi, ni lazima baada ya kunywa ufanye kitendo sasa si kunywa dawa tu).

Kama kweli uko serious na tatizo, nipigie katika Namba.

0650 140 211
Mi nataka tu mdada bila dawa ni shilingi ngapi?
 
Pole sana mdogo wangu, kwanza kabisa chondechonde acha kabisa kunywa hizo dawa za mitishamba , nyingi hazijapimwa na zinaweza kuwa zinaharibu mishipa yako ya damu au kudhuru figo na ini, ndio maana unaona tatizo linazidi kuwa kubwa, tatizo lako la uume kushindwa kusimama asubuhi ni ishara ya wazi kabisa kwamba mzunguko wako wa damu hauelekei huko chini vizuri.

Usije ukafikiria mambo ya kichawi wala nuksi, ni swala la kawaida tu la kibaolojia ambalo daktari anaweza kulisuluhisha.Ushauri wangu tafadhali nenda hospitali kubwa ukaonane na daktari ,ukipata daktari wa mfumo wa mkojo na uzazi/Urologist itakuwa vizuri zaidi. Mwambie akupime kiwango cha sukari mwilini, msukumo wa damu, na kiwango cha homoni ya testosterone.

Tatizo lako linaweza kuwa linasababishwa na kitu kidogo sana kinachohitaji marekebisho ya kitabibu tu, pia, hebu chunguza mtindo wako wa maisha, unasumbuliwa na msongo wa mawazo au wasiwasi? Umewahi kujichua? Kama ndiyo, je ulijichua kwa muda gani? Huwa unafanya mazoezi? Unalala vizuri?

Nikushauri pia mazoezi kama kukimbia, kupiga pushups, au kuruka kamba iwe ni sehemu ya maisha yako ili kuamsha mzunguko wa damu, kula vizuri vyakula vya asili, na uwe unapata muda wa kupumzika vizuri. Utapona kabisa mdogo wangu, fanya mpango wa kwenda hospitali kwanza.
 
Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu

Hakunaga Dawa za Nguvu za kiume kijana. Acha kuchezea afya na maisha yako.

Kula vizuri.
Vyakula vya umri wako.
Protein iwe ya kutosha,
Mbogamboga,
Wanga kidogo tena Dona.
Na matunda.
Maji kulingana na umri na kilo zako.

Pumzika vyakutosha.
Usipige Nyeto.

Ukiwa na genye jizuie. Hifadhi nguvu. Ifunze akili kudhibiti nyege zako.

Fanya kazi au mazoezi ya pumzi na moyo.

Hivyo tuu
 
Back
Top Bottom