Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Pole mbona umri bado mdogo sana shida nini?labda ungeeleza chanzo cha shida yako ili uweze kusaidiwa.Pia kama shida yako umechezewa kiushirikina hata kama utakula gunia zima la madawa ya kienyeji hutapona,mtafute Yesu atakuponya na uache uzinzi kama una hiyo tabia..
 
Fanya mazoezi
Epuka msongo wa mawazo
Socialization
Kula vizuri
Isipige nyeto
Baada ya wiki tafuta demu ugegede
 
Aliyekwambia una tatizo kakudanganya, mbona wanaume wote kusimamisha ni kazi.
Labda huyo jamaa yako nikiona hata paja tu umeisha nyuzi 90° hapa utapigika mpaka utoe kitu nyeupe nyeupe 😂 😂
 
Labda huyo jamaa yako nikiona hata paja tu umeisha nyuzi 90° hapa utapigika mpaka utoe kitu nyeupe nyeupe 😂 😂
Unavyojipakulia minyama sasa!
Kusimamisha hadi uone upaja halafu unajisifu kwa herufi kubwa.
 
Acha kutumia madawa hayatokusaidia kwa muda mrefu. Kula vyakula vyenye kujenga afya, fanya mazoezi, lala muda wa kutosha, fanya mazoezi na upunguze stress.

Fanya hivyo kwa angalau miezi sita hadi mwaka naamini utaona mabadiliko. Achana kabisa na madawa ikiwa unataka kuondoa tatizo mazima.

Kingine pia usiwaze sana kufanya vizuri unapokua unaelekea kwenye kufanya sex, hii inaweza kukupa presha ambayo itaathiri kabisa utendaji. Jaribu sana kurelax muda wote na achana kabisa na kujichua ikiwa unafanya hivyo.
 
Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
UnaSuka mikeka alafu unataka uwe na nguvu za kiume
 
Acha kuangalia pono...acha kujichua...kula machungwa matano kila siku...mwezi mzima alafu urudi kuleta ushuda ...
 
Mkuu unauhakika huna deni na mtu wala taasisi..na uko vyedi na husiano lako?
 
Back
Top Bottom