Sharleen2233
New Member
- Oct 31, 2020
- 1
- 1
Habari zenu naomba nifahamishwe jinsi ya kununua furniture , shipping hadi inifikie tuseme ninunue masofa ya milion 2 hadi yanifikie dar gharama sh ngapi na muda gani na nazipokea wapi?
Hao mafundi wako wapi mimi mwenyewe nahitaji kwaajili ya harusi yangu.Kwanini ununue nje? Kuna mafundi wazuri,,wanakutolea sofa zaidi ya hyo uliyoiona nje ya nchi ,,na hutojuta. Please omba msaada wa kupata fundi wazuri wawili ama watatu kutana nao kwa muda tofauti, zungumzeni kazi na malipo, hutojuta kabisa.
Harusi ,,halafu una import fenicha? Za kupambia ama?Hao mafundi wako wapi mimi mwenyewe nahitaji kwaajili ya harusi yangu
Swali langu mimi linajikita kwenye nini faida ya kuwatumia wasafirisha mizigo kama silent ocean kwa maana ya kuwasiliana nao moja kwa moja? Je ukimuacha supplier ndo akutafutie mtu wa kuleta mzigo, nini hasara yake? Nitashukuru kwa kuelimishwa.Majibu ni haya hapa,
Kununua aliexpress ni ngumu kwa. Mzigo mkubwa kama huo, kwasababu shipping options utazopewa ni Dhl, UPS, au Fedex ambapo gharama za usafirishaji zinaweza kuwa mara mbili au tatu au nne kwa aina ya ukubwa wa mzigo huo.
Ingia alibaba, tafuta supplier wa uhakika wasiliana nae, dadisi ubora, pitia profile ya kampuni ukishapata unachokitaka, wapigie simu silent ocean au Gnm cargo wakupe address za warehouse zao ambazo zipo karibu na supplier wako, kisha wasiliana na supplier, uliza gharama za zote pamoja na za kupeleka mzigo warehouse ya wasafirishaji niliowataja hapo juu, bila kusahau ulizia pia ukubwa wa mzigo, kwa kupimo cha CBM ukishajua zidisha kwa 450$ utapata gharama za kusafirisha mzigo wako mpaka bongo land.
(usafiri ni wa meli) waiting period 30 - 60 days
Ukimuachia supplier akutafutie wasafirishaji kwa hizi loose cargo (yaani mizigo midogo midogo kuna changamoto nyingi)Swali langu mimi linajikita kwenye nini faida ya kuwatumia wasafirisha mizigo kama silent in kwa maana ya kuwasiliana nao moja kwa moja? Je ukimuacha supplier ndo akutafutie mtu wa kuleta mzigo, nini hasara yake? Nitashukuru kwa kuelimishwa.
Nenda keko utakutana nao,jifanye unaenda kununua halafu mwisho wa siku katika hao wapambe watakakuoneshea chukua namba zaoKwanini ununue nje? Kuna mafundi wazuri,,wanakutolea sofa zaidi ya hyo uliyoiona nje ya nchi ,,na hutojuta. Please omba msaada wa kupata fundi wazuri wawili ama watatu kutana nao kwa muda tofauti, zungumzeni kazi na malipo, hutojuta kabisa.
Haswa haswa ukienda Keko wanatengeneza sofa za hali ya juuHiyo shipping itakuwa mara nne au tano ya bei ya bidhaa. Kuna wakali kibao now hapa mjini wanakutolea furniture yeyote.
Master card ni master card, maana kampuni ya master card ni moja tu wengine mawakala...
Yah sure, hata airtel mastercard ni safi tu na yenyewe hahitaji kuhamisha ela elailiyoko airtel money ndo hiyo hiyo, halafu makato yake ni afadhali kuliko Mpesa master cardSawa unaweza kutumia M-pesa master kadi! Ni salama haina shida! Mm nanunulia sana bidhaa mtandaoni!
Faida yake ni kwamba unaweza kutengeneza kadi ya muda kwenye menue ya m-pesa! Ukahamishia kiasi unachotaka kununua biadhaa online!
Mfano iphone dola mia! Basi unahamishia hicho kiasi kwenye hyo kadi uliyoitengeneza.
Badala ya kutumia master kadi yako ya CRDB ambayo labda itakuwa na pesa nyingi!
Mwisho wa siku ukaibiwa zote! Mpesa master kadi unaitengeneza mwenyewe kwenye menue ya voda!
Halafu wanakutukia no ya kadi ambayo unaweza kutumia kwa manunuzi!
So utahamisha tu pesa kutoka mpesa kawaida kwenda kwenye hyo master card yako ya voda
8484844Sawa unaweza kutumia M-pesa master kadi! Ni salama haina shida! Mm nanunulia sana bidhaa mtandaoni!
Faida yake ni kwamba unaweza kutengeneza kadi ya muda kwenye menue ya m-pesa! Ukahamishia kiasi unachotaka kununua biadhaa online!
Mfano iphone dola mia! Basi unahamishia hicho kiasi kwenye hyo kadi uliyoitengeneza.
Badala ya kutumia master kadi yako ya CRDB ambayo labda itakuwa na pesa nyingi!
Mwisho wa siku ukaibiwa zote! Mpesa master kadi unaitengeneza mwenyewe kwenye menue ya voda!
Halafu wanakutukia no ya kadi ambayo unaweza kutumia kwa manunuzi!
So utahamisha tu pesa kutoka mpesa kawaida kwenda kwenye hyo master card yako ya voda
Lakini pia hata ushaur kama kuna the best agent wa kuaminika wa hapa Tz ambaye anaweza kunisafirishia mizigo yangu toka US up to Tz
Kwakuwa mzigo wako utakuja kwa njia ya DHL , Unajaza physical address na namba ya simu. Mzigo ukifika Tanzani utapigiwa simu kwa taratibu zaidi ili kupata mzigo wako.1.Mimi sina sanduku la posta
Pitia kwenye site ya comgateway wametoa maelekzo ya kina jinsi ya kutumia anwani yao waliyokupa.2. Jinsi ya kuiweka hii shipping adress niliyopewa na comgateway ya US vizuri bila kukosea kule Amazon.. Hapa pia nahitaji maelekezo...