warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
VyovyoteTeheehehe tutapewa cheti au "vyeti"?
VyovyoteTeheehehe tutapewa cheti au "vyeti"?
naona Daudi Bashite ameanza kurusha miguu.
Na nyie ndo mamlaka ya kukagua cheti cha makonda? Unaongea au umepagwa mfyuuuWewe ndo mamlaka ya kukagua vyeti vya wachungaji? Unaonaje ukaishauri serikali yako mkuu wakatunga sheria ya sifa za mtu anayefaaa kuwa Mchungaji ili kuwe na chombo cha kuwafanyia vetting na wakuteuwe uwe mkuu wake ili umshughulikie gwajima? Hahaaa
Gwajima kaanika vyeti wapi? Unawashwa weweGwajima ametafuta vya bushite,nawe tafuta vya Gwajima.tuanikie
Siku hizi ibada zimegeuka uwanja wa kusutana, ndo wachungaji zetu hao wa mwendo kasiBaba Askofu Gwajima ataweka wazi kwenye ibada ya Jumapili ila labda tupate ya daudi
CV YAKE INAPATIKANA YEREMIA 1:5 ''Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa''Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
Nani kakudanganya? Vyuo vya dini viliwekwa kwa ajili ya? Uliza uambiwe wewe, huwezi kutoa huduma za kiroho kizembe kama unatoa tigohahah uchungaji hausomew ni kama mganga wa kienyeji...mungu anamuinua mtu anakua mchungaji ila akitaka kwenda kusoma ni uamuz wake sio Lazima...
Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
Wewe! acha chizo ulisikia uchungaji ambao no kazi ya Mungu imesomewa chuoni. Kwanza uchungaji no kativya huduma 5 alizoacha Kristo mwenyewe. Soma Waefeso 4:11 utaelewa. Pia niambie manabii Kama Musa, Eliya, Elisha, Yeremia, Ezekieli kwa uchache tu walikuwa na vyeti vya chuo gani? Watumishi was kweli wa Mungu huchaguliwa na Mungu mwenyewe kwa njia ya Roho Mtakatifu. Mawazo yako no ya kibinadamu zaidi hujui kweli ya roho ndiomaana unahitaji mtumishivwavMungu Gwajima aonyeshe cheti cha uchungaji. Kwani umesikia ameajiriwa kwenye Nazi ya wanadamu? Mwajiri wake in Mungu ambaye sifa ya kuajiri mtumishi wake in Moyo uliovunjika na kupondeka. Soma Zaburi 51:17 utaelewa.
Mkuu hata mtu akijiajiri mnahitaji cheti!!!!?Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
Mbona mnamfuatilia daudi pia , yatupasa kufuatilia kila mtu anayemfuatilia mwenzake , mla huliwaUnataka kumuajiri?????
Sijui kwa nini wa tz tunapenda kufuatilia mambo ya watu.
Atalijulia wapi mshamba huyouchungaji una shule mzee au haujui hilo????
Waumini utawajua tu kwa mapovu yaomkuu umekosa kazi.
Cv ya Gwajima ukiipata itakusaidia nini? unajifanya nfurukutwa wa Katoliki hata kanisani huendi, hata kitu alichoongelea Gwajima hukijui.
Fanya kazi za zako ili uongeze kipato siyo kufuatilia cv za watu
anza kuleta cv yako ya kuunga unga
Kwahiyo Gwajima ni mtumishi wa mungu!Uchungaji hua hausomewi,asikudanganye mtu,Mungu huinua Mtumishi amtakaye