Kabla hujafika huko tuletee cha mchungaji/ padri/askofu wako au sheikh ndiyo utoke nje. Kama hutaweza kuvileta basi kaa kimya. Huwezi kumjibu mtu kwa kumrudishia swaliTunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
Sasa kama ndivyo kwanini aungeee hivyo ni Yesu gani anaemuhubiri yeyeHata ukijua yeye sio mkuu wa mkoa,sio mtumishi wa umma,nk
Giza haliwez ondoa giza TUNATAKA mwanga na si gizaTUNATAKA blah blah blah...wewe na nani? Huu mwaka mtaombewa hadi na Bohora. Unataka CV ya Gwajima kwani unataka kumuajiri?!
Vp Vyeti vya bashite imeshindikana kuvionesha au!Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
last kick of dying horsenaona Daudi Bashite ameanza kurusha miguu.
ushapokea bahasha ya kaki kwa makonda ama nenee ?Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
Vyeti vya bashite vimegoma kuonekana nini!Pita Pita zangu nimeona self anointed archbishop of ufunuo na uzima ya kwamba amesoma omega global university PhD yake je elimu kabla ya hapo vip mbona haipo wazi.
Naomba msaada kwa wanaojua..
JAMAA KAPIGA SHULE YULE. UNACHOKITAFUTA HUTAKIPATA.




shule gani hiyo ndo tunataka kujua maana kama mtu anajielewa hawez kuprophecy kuwa ana cheti cha zero hali ya kuwa hakijawai tokea Tanzania mtu kupata zero na kupata chetiKweli safi sana bora yako upo realistic huna muhemko kama wengineKunaa uzii upo hukuu mkuu nathani unaonyesha cv yake, anae ujua plz naomba atuletee...
shule gani hiyo ndo tunataka kujua maana kama mtu anajielewa hawez kuprophecy kuwa ana cheti cha zero hali ya kuwa hakijawai tokea Tanzania mtu kupata zero na kupata cheti
nenda necta kawaulize na uje na matokeo ya daudi bashite pia tuyalinganisheSina nia ya kumtetea mtu lakin napenda kuona ukweli huyu anayesema mwenzake zero yeye vip? Ili mimi nimuelewe ni kheri kufahamu elimu yake pia asije akawa kipofu anamcheka mwenye chongo hali ya kuwa yeye haoni kabisa
Kumbe unataka bla bla basi endelea na mzee wa bla bla gwajimqTUNATAKA blah blah blah...wewe na nani? Huu mwaka mtaombewa hadi na Bohora. Unataka CV ya Gwajima kwani unataka kumuajiri?!
Kwan mitume walikuwa na cheti!!!!Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji

Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji