Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji
naona umeamka nalo, unataka vyeti vya gwajima vya kazi gani uliambiwa kwenye kuombea mapepo kuna hitaji digrii, hapo ni upako tu.
 
Nenda kanisan kwake kamuulizee . naona safari hii amewashika pabaya gwajima , Vp unataka kumtetea mwenye vyeti feki nin
Sina nia ya kumtetea mtu lakin napenda kuona ukweli huyu anayesema mwenzake zero yeye vip? Ili mimi nimuelewe ni kheri kufahamu elimu yake pia asije akawa kipofu anamcheka mwenye chongo hali ya kuwa yeye haoni kabisa
 
Mtoa mada,ktk historia wenye vyeti fake na elimu ya kungaunga wako kwenye vyama vya siasa. Hakuna watu wa namna hiyo kwenye KANISA.
 
Tunataka na sisi tujue ulisomea chuo gani na wapi huo uchungaji wako,na sisi tunataka utuonyeshe vyeti vyako,sio unaleta ujanja ujanja wa kuiba sadaka za watu wakati hauna taaluma ya uchungaji

Aliekwambia uchungaji una degree nani? Angekua padre au askofu wa roman catholic kdgo tungeweza kuulizia maswala ya elimu . Sasa uchungaji wa gwajima na degree wap na wapi? Mwambie aliekutuma akitaka alimalize hili atoe vyeti vyake hadharani a clarify watu tuone. Ila kugeuza mashambulizi hakusaidii. Ye c anapenda sana Media? Aitishe press conference tena a clarify mambo.
 
Kabla hujatoka nje anzia nyumbani.tupe ya mwanasiti na kiumbe yule kwanza
Pita Pita zangu nimeona self anointed archbishop of ufunuo na uzima ya kwamba amesoma omega global university PhD yake je elimu kabla ya hapo vip mbona haipo wazi.

Naomba msaada kwa wanaojua..
 
Sina nia ya kumtetea mtu lakin napenda kuona ukweli huyu anayesema mwenzake zero yeye vip? Ili mimi nimuelewe ni kheri kufahamu elimu yake pia asije akawa kipofu anamcheka mwenye chongo hali ya kuwa yeye haoni kabisa
Hata ukijua yeye sio mkuu wa mkoa,sio mtumishi wa umma,nk
 
Pita Pita zangu nimeona self anointed archbishop of ufunuo na uzima ya kwamba amesoma omega global university PhD yake je elimu kabla ya hapo vip mbona haipo wazi.

Naomba msaada kwa wanaojua..
Nenda kanisani kwake kawaulize waumini wake ndio wako responsible na wasifu wake ... coz wasifu wake na vyeti vyake havitusaidii wala kutupunguzia sisi wananchi wa DSM kwa sababu vina athari ya moja kwa moja kwa waumini wake.

Ila wasifu wa makonda na Vyeti vyake unapaswa kutuuliza sisi kama wananchi wa DSM, kwa sababu wasifu wake unaweza kutusaidia au kutuharibia maisha yetu kotokana na athari ya uongozi wake kama Mkuu wa Mkoa Upo hapo Nyonyo!!!
 
Pita Pita zangu nimeona self anointed archbishop of ufunuo na uzima ya kwamba amesoma omega global university PhD yake je elimu kabla ya hapo vip mbona haipo wazi.

Naomba msaada kwa wanaojua..

JAMAA KAPIGA SHULE YULE. UNACHOKITAFUTA HUTAKIPATA.
 
Kunaa uzii upo hukuu mkuu nathani unaonyesha cv yake, anae ujua plz naomba atuletee...
 
Back
Top Bottom