Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

Rapture Man

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
439
Reaction score
145
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.

Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.

Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
 
Alizaliwa Lubumbashi,Congo miaka ya 80,kisha wazazi wake walikimbia vita na kuja kuweka makazi Geita ambako alisoma darasa la kwanza mpaka la tano akawa ameacha shule kwa kukosa uniform.

Akawa anaishi kwa kufanya ufundi ujenzi kabla hajaja Dar es salaam kutafuta maisha.

Alipata wazo la kufungua kanisa baada ya hali ya maisha kuzidi kuwa ngumu miaka ya 2000 akawa ameyapatia maisha
.
 
Apologise lady

Sio kufatilia huyu amekuwa akizungumziwa sana amekuwa kama icon kwenye media swala la kujua Cv hilo kawaida ...tukimjua tutaunganisha dot nakupa njia nzuri ya kumdefine
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Elungata, unatania au unasema kweli. Nataka niifanyie kazi hii CV eti!

ha ha ha,hicho ni kama kichokozeo,ili wanaomjua maana naona anao watu wake wengi humu waje na data kamili.

ukiona kimya,ujue hajulikani na wala haijulikani katokea wapi,then tuna conclude kwamba ni mhamiaji haramu.
 
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.

Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........

mkuu umekosa kazi.
Cv ya Gwajima ukiipata itakusaidia nini? unajifanya nfurukutwa wa Katoliki hata kanisani huendi, hata kitu alichoongelea Gwajima hukijui.
Fanya kazi za zako ili uongeze kipato siyo kufuatilia cv za watu

anza kuleta cv yako ya kuunga unga
 
Kwani ukiwa na mastaz ndo una hekima ya kuongea vizuri. Alichonacho Gwajima kamwe huwezi kuwa nacho wewe. Mwenzio ni next level na uprofesa wako anakubwengua vibwengo kama kawaida na unamuheshimu. Kwenda huko ushamba tu
 
Unajua mi naona wabongo tunapoteza muda mrefu sana kujadili watu wenye mafanikio yao kisha tunasahau ya kwetu tubadilike

Raia mwema ya leo wametoa kidogo.Lakn amezaliwa Mwanza na elimu ya kidato cha 4 aliyopata Buswelu sec.Inasemekana amesoma chuo cha bıblia huko Nairobı.Anafufua wafu japo hakujapatikana ushahdi kwa aliyekufa akiwa na death certificate akafufuka.Inasemekana nı fan mwaminıfu wa Lowasa.Ana shamba kubwa la ng'ombe huko Mwanza.
 
Wakati mwingne napata wakati mgumu sana kila ninapowafikiria waumini wake,matusi katoa mbele yao na huku wao wakishanglia ss cjui ni akili ndogo inatawala akili kubwa?!!!
 
alizaliwa lubumbashi,congo miaka ya 80,kisha wazazi wake walikimbia vita na kuja kuweka makazi geita,ambako alisoma darasa la kwanza mpaka la tano akawa ameacha shule kwa kukosa uniform.
akawa anaishi kwa kufanya ufundi ujenzi kabla hajaja dar es salaam kutafuta maisha.
alipata wazo la kufungua kanisa baada ya hali ya maisha kuzidi kuwa ngumu miaka ya 2000.
akawa ameyapatia maisha
Kama ni kweli basi gwajima ni mtu mjinga kulinganisha na nafasi ya heshima anayopewa na hao wafuasi wake wasaka miujiza.Yeye mwenyewe ni miujiza ndio maana wafuata miujiza wanamfuata. Mtu kuhubiri neno la mungu unafanya kama sanaa kuficha ujinga na nia mbaya ya kujitafutia utajiri kilaghai. Hivi gwajima anaweza kumwambia nini Pengo msomi wa hali ya juu kama sio kuhorojoka maneno ya ovyo na kufanya maigizo ya usanii.
 
alizaliwa lubumbashi,congo miaka ya 80,kisha wazazi wake walikimbia vita na kuja kuweka makazi geita,ambako alisoma darasa la kwanza mpaka la tano akawa ameacha shule kwa kukosa uniform.
akawa anaishi kwa kufanya ufundi ujenzi kabla hajaja dar es salaam kutafuta maisha.
alipata wazo la kufungua kanisa baada ya hali ya maisha kuzidi kuwa ngumu miaka ya 2000.
akawa ameyapatia maisha

Watu wengine hata huyo Allah wenu hamumwogopi???Mnapiga uongo kwa kwenda mbele,Kabla mkamzushia Amekufa na tena sasa mnamtungia CV ya uongo ndiyo maana huyo Allah wako haaminiki maana watu wakikuona wewe uko Machepele sasa wewe utaniambia nimwamini unayemwamini wewe??Acheni Uongo wenu
 
Back
Top Bottom