Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,018
Mchungaji Gwagima CV yake ni kubwa kuliko Mtume. Huo ni MsibaHahahaaa ishmael. Gwajima hapa! Cv hapa. Mtume wa nini na wewe unamuandika kila siku!!!!!!!!!!!
Mchungaji Gwagima CV yake ni kubwa kuliko Mtume. Huo ni MsibaHahahaaa ishmael. Gwajima hapa! Cv hapa. Mtume wa nini na wewe unamuandika kila siku!!!!!!!!!!!
Tupe CV ya Mtume Muhamedi tuione, maana tabia zake na za wafuasi wake ni kama .........ISIS
Sasa nani zaidi katia ya Muhamedi na Gwajima?Huko kote ni kutapatapa!
Mtume Muhammed katokea wapi hapa.
Lete cv ya dkt wenu acha kutapa ndugu.
Alizaliwa Lubumbashi,Congo miaka ya 80,kisha wazazi wake walikimbia vita na kuja kuweka makazi Geita ambako alisoma darasa la kwanza mpaka la tano akawa ameacha shule kwa kukosa uniform.
Akawa anaishi kwa kufanya ufundi ujenzi kabla hajaja Dar es salaam kutafuta maisha.
Alipata wazo la kufungua kanisa baada ya hali ya maisha kuzidi kuwa ngumu miaka ya 2000 akawa ameyapatia maisha.
Raia mwema ya leo wametoa kidogo.Lakn amezaliwa Mwanza na elimu ya kidato cha 4 aliyopata Buswelu sec.Inasemekana amesoma chuo cha bıblia huko Nairobı.Anafufua wafu japo hakujapatikana ushahdi kwa aliyekufa akiwa na death certificate akafufuka.Inasemekana nı fan mwaminıfu wa Lowasa.Ana shamba kubwa la ng'ombe huko Mwanza.
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
Tupe CV ya Mtume Muhamedi tuione, maana tabia zake na za wafuasi wake ni kama .........ISIS
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
Unapenda kusingizia watu eeehn. Hivi ombi langu imeshakuwa msiba kwenu?Huyu lazima atakua Msukule aliyefufuriwa na Mch wake Gwajima......Yani always hua wapo off topic....Yani unaona ufahari kabisa kumtukana mtume Muhamad ambae hukuwai ata kumuona wala ata kumsoma kisa umefufuriwa .....Wewe nakuona kama msukule wa Gwajima
Unajua mi naona wabongo tunapoteza muda mrefu sana kujadili watu wenye mafanikio yao kisha tunasahau ya kwetu tubadilike
Nashauri tuanze na cv ya BashiteWadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
Nenda kanisan kwake kamuulizee . naona safari hii amewashika pabaya gwajima , Vp unataka kumtetea mwenye vyeti feki ninPita Pita zangu nimeona self anointed archbishop of ufunuo na uzima ya kwamba amesoma omega global university PhD yake je elimu kabla ya hapo vip mbona haipo wazi.
Naomba msaada kwa wanaojua..