Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,099
- 24,338
Haombi kazi,CV ya nini?
Nimeambiwa ana PhdYule ata mkijua haitasaidia atakm ka foji vyeti......maana hajaajiliwa na serikali na anaruka na helicopter hasa msipoteze mda ..gwajima muachen tu
Sijajua ninachojua anaruka na hericopterNimeambiwa ana Phd
Gwajima Ni msukule tosha Kama waumini wake..Watu wengine hata huyo Allah wenu hamumwogopi???Mnapiga uongo kwa kwenda mbele,Kabla mkamzushia Amekufa na tena sasa mnamtungia CV ya uongo ndiyo maana huyo Allah wako haaminiki maana watu wakikuona wewe uko Machepele sasa wewe utaniambia nimwamini unayemwamini wewe??Acheni Uongo wenu
Limbwa..............!!!!!!!!Mtu ukienda shule kidogo angalau unakuwa na kitu tofauti kabisa yaani, huwezi tukana mbele za watu hovyohovyo hivyo.
Halaf wale waumin wake looohh.... ndio wanakuwa wamelishwa nini vile .......?
Ngwajima kaajiriwa na serikali? Kama ndio kahakikini vyeti vyake. Kama hapana, anzeni na Makonda then muende kwa ma-DC na RC wengineeti bashite.. TUNATAKA kujua uhalali wa vyeti cha GWAJIMA hata hicho cha PhD cha Omega University.
Maana mtaka cha uvunguni sharti ainame ebu aoneshe mfano wa kuonesha vya kwake ndio tuzungumze ya RC

Unataka kutuondoa kwenye mstari, sisi tuko na BASHITE bwana ndo habari ya mujini; huyo Gwajima atajuana na waumini wake sisi hatuhusu. Sisi na mungu wetu wa Dar!!!Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
Gwajima Ni msukule tosha Kama waumini wake..
BASHITE alikuwa anatukana watu hadharani tena waajiriwa kama yeye mbona mlikuwa mnamtetea? Kaeni pembeni na huyo Gwajima wenu, sisi wetu BASHITE.Mtu ukienda shule kidogo angalau unakuwa na kitu tofauti kabisa yaani, huwezi tukana mbele za watu hovyohovyo hivyo.
Halaf wale waumin wake looohh.... ndio wanakuwa wamelishwa nini vile .......?
wewe muumini wa nani aisee au unavaa magauni ya uarabuni??Huyu sidhani hata kama alisoma, ni msanii tu anayecheza na hisia za waumini wake. Si unawaona waumini wake walivyo, yaani wamekaa kimsukule sukule hivi. Kila wanacho amrishwa kufanya wao wanafanya tena bila hata kufikiri wakati akili wanazo. Nabii ni Yesu na Mtume Muhammad si hawa wa kidigitali.
wewe muumini wa nani aisee au unavaa magauni ya uarabuni??