Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

MONRACE

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2018
Posts
272
Reaction score
641
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya wakuu

Biashara hiyo

Bidhaa ya zamani kwenye kopo jipya

Walafi jimwageni
 
"If you fall in love there is no going back to just being friends " walisema wataalamu.

Maisha haya ni mafupi.. mtu akikuumiza ukijiskia kumchukia mchukie ,ukijisikia kumsamehe msamehe tu.. mambo ya kukaa mwezi mzima unajifunza jinsi ya kuishi nae baada ya breakup ni matumizi mabaya ya life expectancy ndogo tuliyonayo.
 
Only time can heal broken heart
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukimchukia utazidi kuumia tu, chamuhimu hapo samehe then endelea na maisha yako
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app

Usijali sana,ni kipindi cha mpito tu hiki

Utafika muda hii hali unaifeel sasa hivi itakuwa ni history....jipe muda,usikurupukie mahusiano mengine
 
Back
Top Bottom