Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

Always Love with a gape. Also make sure that yu have 2 lovers in one time. Give them a tight timetable and make sure that they don't meet. Kwisha. Akikuzingua huyu unamaliza 2 weeks ukijitayarisha kutega jinga jingine. Sisi vidume huwa hatuumii sana kwa kuishi na ujanja huo
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
Amekupa sababu gani ya kuachana na wewe? Itakuwa wewe ndio ulivuruga katika mahusiano, au amepata mwingine anayemfurahisha zaidi yako wewe. Ukiingia kwa mapenzi, jiandae kuumizwa. Hakuna namna ya kuondoa maumivu haraka. Ila ACHANA NAYE KABISA NA WALA USIWASILIANE NAYE HATA KIDOGO.

Wazungu wanasema time will heal. Manake muda utamaliza maumivu. Ukija pata mwanaume anayekufurahisha zaidi yake, ndio utamsahau. Lakini hio haitatokea leo wala kesho. Na sasa usipaparitikie mapenzi sana. Tulia hadi upate mtu anayemzidi huyo aliyekuacha. Usipaparitikie, piga mambo yako tu hadi umpate. Ila ndio hivyo itachukua muda
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
usimchukie kupitiliza kaa tulia relax anza kujipenda mwenyewe then mengine yatajipanga taratibu tu , ukimuona nyani kazeeka ujue ka kwepa mishale mingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Always Love with a gape. Also make sure that yu have 2 lovers in one time. Give them a tight timetable and make sure that they don't meet. Kwisha. Akikuzingua huyu unamaliza 2 weeks ukijitayarisha kutega jinga jingine. Sisi vidume huwa hatuumii sana kwa kuishi na ujanja huo
Huo sio ushauri mzuri. Iko siku watamzingua wote, halafu ataumia maumivu mara mbili kwa wote. Halafu atakuwa ana-cheat labda kama akiwa mkweli kwa wote kwamba kila mmoja ana mpenzi mwenza. Asipokuwa mkweli ndio hio ku-cheat na wakija gundua, wanamwacha kwa mkupuo na anaumia double.
 
Naogopa kuanzisha mahusiano mengine naona n mapema mnooo nataka nipone kwanza like 2-6 years

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap. Ukianza mapema, utamuumiza huyo mtu. Tulia kidogo. Sababu pekee ya kuanza mapema ni kama utapata mtu bora zaidi yake katika kila nyanja. Hapo ni sawa tu. Lakini uwe na uhakika ni bora kwelikweli na anakupenda zaidi yake, na anachangia mambo zaidi katika maisha yako zaidi yake nk.
 
1. Maumivu hayaji kwa lengo la kukuumiza bali kukupa funzo.

2. Usimchukie mtu (hata kama sio mpenzi) sababu chuki inamuathiri yeye na wewe pia.

3. Usikatae ukweli kwa yaliyotokea, kubaliana na kila kilichotokea ni part ya maisha.

4. Wapo wengi wenye mapenzi ya dhati na kukujali wanakusubiri wewe tu, uruhusu nafasi hiyo upate mtu sahihi.

5. Kuacha na kuachwa ni jambo la kawaida sana katika maisha, unachotakiwa ni kusonga mbele na maisha yako.

6. Tambua mtu sahihi kwenye maisha yako hawezi kukuacha, wala huwezi kumuacha. Ikitokea mmeachana basi tambua huyo hakuwa sahihi kwako.

7. Kuwa na kawaida ya kumshukuru Mungu katika maisha yako kwa hali yoyote inayokutokea. Likiwa jambo zuri shukuru Mungu, hata likiwa baya shukuru Mungu.

8. Enjoy maisha yako ukiwa alone, itakufanya kuwa jasiri na shujaa katika maisha yako. Mtu wa kwanza kabisa kukupa furaha ni wewe mwenyewe, usipendelee kutegemea furaha kutoka kwa mtu mwengine coz utakuwa ni mtu wa kupoteza furaha mara kwa mara, furaha inakuja na kuondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Always Love with a gape. Also make sure that yu have 2 lovers in one time. Give them a tight timetable and make sure that they don't meet. Kwisha. Akikuzingua huyu unamaliza 2 weeks ukijitayarisha kutega jinga jingine. Sisi vidume huwa hatuumii sana kwa kuishi na ujanja huo
OMG...Siez Fanya hvi et...woooooi I'm dead

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom