Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

Twenitwo yrs bado sana, i bet your studying bado focus kwenye kusoma and if not basi focus kwenye mambo mengine. Mapensi yapo tuu mdogo wangu.
 
Kumchukia Ex ndo mwanzo wa kumove on.

Pole mwaya ndo kwanza break up ya pili .mimi hapa nna PHD za break up na mapenzi siwezi kuyaacha ni matamu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kupanga ni kuchagua.
Kujaribu kuchukia kitu ambacho kinakupa furaha ni kazi ngumu sana.Haina haja ya kuchukia mapenzi,wakati watu wazuri na waaminifu bado tupo.
Nipo upande wako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
somehow napata katumaini...maana mpaka naogopa hata hyo
ndoa
Sio lazima apitie idadi zisizohesabika za break ups mlizopitia nyinyi u never know mtu atakaempata baada ya hapa akawa wa ndoa so msimtishe kulingana na uzoefu wenu kwenye mahusiano yenu
Mapenzi hayana fomula akijitambua,kujiheshim na kujua nini anataka atampata the one she'z meant to be with

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko Vice Versa

Mimi nimetokea kuwachukia Sana Wanawake Aiseee
 
Mrudie aliyekuacha mchane makavu kuwa mkikutana mpeane Hi na Kama vipi mambo mengine yaendelee!
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu date na wanawake usiowapenda full stop.

Namaanisha wale ambao roho yako inasema hata wakikuibia na kutoroka hutahangaika kuwatafuta.


Unaumizwa kwa sababu wewe ndo unatangulia kuwapenda na kiuhalisia huwezi kupata mtu anayekupenda Kama unavyompenda wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni njia nzuri coz huyu akizingua unaenda kwa mwingine .
Always Love with a gape. Also make sure that yu have 2 lovers in one time. Give them a tight timetable and make sure that they don't meet. Kwisha. Akikuzingua huyu unamaliza 2 weeks ukijitayarisha kutega jinga jingine. Sisi vidume huwa hatuumii sana kwa kuishi na ujanja huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kapime tezi dumee. Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naogopa kuanzisha mahusiano mengine naona n mapema mnooo nataka nipone kwanza like 2-6 years

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuidhulumu nafsi yako. Unahitaji mtu wa kutuliza maumivu yako. Usipofanya hivyo hayo maumivu yataendelea kwa muda wote huo wa 2-6yrs. After all baada ya miaka sita mvuto wako utakuwa umeshapungua sana. Jipe moyo, fungua moyo kwa yeyote atakayekidhi vigezo vyako, hata akija sasa.
 
Huo sio ushauri mzuri. Iko siku watamzingua wote, halafu ataumia maumivu mara mbili kwa wote. Halafu atakuwa ana-cheat labda kama akiwa mkweli kwa wote kwamba kila mmoja ana mpenzi mwenza. Asipokuwa mkweli ndio hio ku-cheat na wakija gundua, wanamwacha kwa mkupuo na anaumia double.
Kuna dini flan wanaruhusu kuoa wake 4 kwa siku. Hata kuna mh flan hivi alioa/alifunga ndoa 2 kwa siku moja hapa hapa Tz kwani hiyo dini inaruhusu. Sasa kwa nini weye mwanamke usiwaambie wazi kuwa, Utawamudu ila wakubali ratiba yako kwao?? Si unawaweza? Na haswa ka ni waume za watu?? Nadhani kama kuna ndoa za contract basi uwepo na mchepuko wa contract.
 
Mkuu Huu utakuwa UMALAYA na sio mahusiano
Mahusiano yeyote yasiyo rasmi ni umalaya tu. Waweza uita vyovyote ila neno rahisi ni umalaya. Make it oficial and thing will be ok
 
Back
Top Bottom