Olewa na mume mmoja tu usikubali kulalwa hovyo bila cheti cha ndoaKabisa unatushauri tuwe na mchepuko. Halafu mje kutuchoma na magunia mawili ya mkaa. Pia muanze kutusema jinsi tusivyo waaminifu..mkoje nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Olewa na mume mmoja tu usikubali kulalwa hovyo bila cheti cha ndoaKabisa unatushauri tuwe na mchepuko. Halafu mje kutuchoma na magunia mawili ya mkaa. Pia muanze kutusema jinsi tusivyo waaminifu..mkoje nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nduguOlewa na mume mmoja tu usikubali kulalwa hovyo bila cheti cha ndoa
Bado katoto, kakikua kataelewaSasa kabinti ketu hapa hiyo fasihi kajua nimemwambia kuanzisha mahusiano mapya
,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Yasiyo rasmi maana yake tayari unaye ambae ni rasmi kwako lkn bado unaenda na kwingine. Huo ni umalaya.Kuna tofauti kati ya kuwa kwenye uhusiano na mtu mmoja na kuwa kwenye uhusiano na mtu zaid ya mmoja.
Mahusiano yote yanaanza kwa kutokua rasmi huwez kuniambia mnajitambulisha kabla ya kutongozana so huwez kusema mahusiano yote yasiyo rasmi ni umalaya.
Kutongozwa sio mahusiano. Mahusiano ni hatua ya ndani zaidi yaani in English we call it intimacy. Hii ni hatua sasa tunasema; Tuna mahusiano. Kutongozwa ni application. Hujakubaliwa.Kuna tofauti kati ya kuwa kwenye uhusiano na mtu mmoja na kuwa kwenye uhusiano na mtu zaid ya mmoja.
Mahusiano yote yanaanza kwa kutokua rasmi huwez kuniambia mnajitambulisha kabla ya kutongozana so huwez kusema mahusiano yote yasiyo rasmi ni umalaya.
tatizo sio kuachwa tatizo ni kuwekeza kwenye uhusiano.Inategemea umeachwaje na wewe uliwekeza kiasi gani ila kama inakuumiza sana tafuta mtu uongee naye....TALK about ITSana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi ni baina ya watu wawili, wazazi wanahusika vipi? Bila wazazi kurasimisha sio uhusiano?Yasiyo rasmi maana yake hayatambuliwi na wazazi iwe uwe na mtu mmoja au zaidi ya mmoja
Hata ukiwa na mtu zaid ya mmoja na Wote wanatambuliwa na wazazi hayo ni rasmi sema huo utakua umalaya
Mapenzi ni kama mtu yule alieenda sokoni kununua embe, akachagua lililoiva akaliacha bichi je ..ungekuwa wewe embe bichi ungechukia na kukataa kuuzwa? Si uko sokoni..wapo wajawazito wanaopenda maembe mabichi..watakununua..moral of the story...ukiona hakupendi jua kapata mwingine...tulia wanaokujali watakuja bana..usijistress.....mwache aende..subiria wako wa ukweli atakupenda kweliSana Jf Mie mgeni humu...ila nmetoka kwa heavy break up...its my second break up katika mahusiano na all time naumizwa Mimi tu... Soooooo naomba msaada huwa mnafanyaje mkiachana Ili ile hating isikae moyoni jamaani sitaki kabisa kumchukia mtu Mimi..ila nataka kufanya kama tatizo LA kawaida tu then nilet go...ila najiskia kuchukia sana wanaume help me guys...
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh! bado una umri mzuri, cha muhimu




If you are having hard time then Ni zamu yako na wewe.. pitia na wenzio wapumue
Iache ikufunze.. usitake kupunguza maumivu kwa haraka haraka.. pain bleeds weakness
Umia ujae!