Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Well said mkuu, hivi ule utaratibu wa hati za kimila uliishia wapi? nasikia ilikuwa 20,000 tu, au hauwahusu wanunuzi wa ardhi yaani mpaka uwe umerithi?Miaka 70! sipo tayari kwa hili. Ngoja niendelee kufanya utaratibu wa kumiliki ardhi kisheria maana hizi projects za muda mrefu ni lazima uwashirikishe watu wa ardhi kikamilifu kabla ya kuanza kupanda miti. Tuliangalie kwa umakini hili swala, watu wengi wamepoteza ardhi kwa kutofuata taratibu za umiliki