Tuwe tunafanya utafiti kabla hatujakosoa post za watu, kuna hadi taarifa kwamba kuna mtiki umewahi uzwa hadi $20,000!.kwa bei nyingi wana state $500 kwa cubic mita ambapo mti mmoja unaifikia na kupita, hapo bado hujauza maranda kama veneer, tatizo letu hatupendi kutafiti , bila shaka european union wasingewekeza $29million kama isingekuwa na hela nzuri, ukiachana na hayo nilisoma kwenye kijarida cha mazingira huko kilwa kuna kijiji walikuwa wanauza magogo kwa Tsh 1.2miliioni, biashara ya magogo ina hela mno ndio maana yule mtoto wa nguema ni tajiri sana.
Hongera kwa kupanda mitiki, vipi unapanda miche mingapi? Source just google price of teak tree utapata nyingi tu, uje unijulishe tafadhali.Nashukuru kwa maelezo. Tunaomba source ya data. Bado hainiingii kichwani mtiki mmoja kuuzwa $20,000 (ambazo ni Tshs zaidi ya milioni 30!). By the way tunapanda mitiki Morogoro hivi tunavyoongea.
Hongera kwa kupanda mitiki, vipi unapanda miche mingapi? source just google price of teak tree utapata nyingi tu, uje unijulishe tafadhali.
FAQ about teak investments ni ngumu kupata data za bongo lakini hapa nimepata data kwamba mti wa 25 years in costa rica worth $1000 ni mti sio mbao.
hii mitiki(teak) inachukua muda mrefu sana kuwa na bei nzuri ni ya miaka 15 na kuendelea, ila ukiwa unafanya thining ya shamba unaanza kuuza kuanzia miaka saba, na ina hela mti unaweza fika hadi milioni moja(wanatumia kwa nguzo za umeme ,kujenga meli na fenicha za gharama) , kuhusu mbegu sifahamu ila european union wanafadhili mradi huko kilombero nasikia tayari wana hekta 3000
ASante kwa kila aliyechangia, nimefaidika sana na post zenu
Great topic , wadau naweza pata wapi miti aina ya Mitiki kwa bei nafuu nahitaji kama 300 hivi.
Nimeiona inakuwa vizuri kimbiji huko kigamboni.
Assante kwa majibu yako;
Natumaini unafahamu kuwa tuna umoja wetu wa misitu wengi wetu ni members was jamiiforums. Kama hufahamu ningependa tuwasiliane ili ufahamu tunafanya nini na jinsi ya kuweza kuwasiliana. Organizer wetu ni Malila na tumepanda mamia ya ekari msimu huu. Na baadhi wamekuwa wakinunua mashamba ya wanakijiji ya ekari chache.
Kama hufahamu kuhusu umoja wetu wa misitu na ungependa kujua tunachofanya wasiliana na Malila ili tuweze ku share information.
Asante.
QUOTE=kakaamiye;3629943]Ninashukuru sana kwa hii topic,hata mimi nipo interested sana na kupanda miti na ni idea ya muda sasa, issue kwangu ni namna ya kuanza especially kupata shamba kwa ajili ya kupanda.Ningeomba kupata japo idea kama ninaweza kupata eneo huko njombe na kwinginekoukizingatia mimi ninaishi dar. Na price inakuwaje, pia gharama za miche kwasasa ni kiasi gani na kuotesha plus kutunza. Please please mwenye dataninaomba