Msaada: Mke wa mtu amenipenda mwenyewe

Msaada: Mke wa mtu amenipenda mwenyewe

Kula mzigo wew upate GPA nzuri nakuhakikishia ukimla uyo ticha somo lake utakua unafaulu tu
 
Kwanini unataka kuharibu maisha yako kwa starehe za muda mfupi....??

Hilo jambo unalotaka au kushawishika kulifanya ni la hatari sana kuliko unavyodhani....ni jambo linaloweza kuharibu ndoto zako na mipango yako yote ya maisha yako......

Nikiwa kama kaka yako kipenzi...nakusihi na kukuasa....umuepuke na kumkimbia huyo shetani aliyekuja katika sura na umbo kama la huyo madam...
Anataka kumkanyagisha miwaya dogo. Gridi ya taifa sio kitu kizuri.
 
Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.

Msaada jamani wakubwa zangu
pita nae tu dogo acha woga, nenda kamtafunie chimbo la mbali hapo. wenzio wanawala hao kila siku, acha woga.
 
Ngoja Mume wake aje akufungue Shampen.Mwambie we ni mwathirika kama anataka kufa poa.Hatorudi tena.
 
Hakuna supp za makusudi. Ila kama hii story ni ya kweli, then mkubalie tu huyo 'madam', cause sioni ukifikisha hata course work. Too much revealing details, you might as well have said the names and post pictures. Then again, it could be just another daydream.
hahahahah

clinical college

Madam ni mwalim

Mme wae ni mkuu wa chuo

Mme wake yuko masomoni india sasa


Dah kitoto cha miaka 20 badala ya kusoma kinawaza ngono....
 
freebies2deals.kyjelly.jpg

Mume wake akirudi hakikisha hii kitu unayo karibu muda wote,inaweza kukisaidia
 
Anataka kumkanyagisha miwaya dogo. Gridi ya taifa sio kitu kizuri.
Ukiacha miwaya mkuu...kutembea na mke wa mtu si miongoni mwa tabia njema kwa kijana hasa kwa umri kama wake ambapo ana ndoto kibao katika maisha yake....ni matukio ambayo huwa hayana mwisho mzuri zaidi ya majuto na vilio....lakini bado anayo nafasi ya kuyakataa yote hayo kwa kujiweka mbali na shari hiyo...
 
Mi ndo niko india, mke waku ni tutor, na anafundisha anatomy.

Jiandae kurudi kwenu bwana mdogo...
 
Haya ndo uliyoyataka,nnani kakuambia JF wanafundisha uzinzi?? Hivi huna dini weye?? Dini yako inakuambia uzinzi ruksa?? Hapa JF tuna dini yetu nayo inakataza wazinzi hata kujiunga humu. Nasema hivyo kwa sababu, hakuna hata mzinzi mmoja alowahi kuja humu akatupa mrejesho wa yalompata alipo fumaniwa. Hivyo hatuwapendi wazinzi kwani hawarudishi mrejesho wa yalowapata.
Kwenyu ulipoaga na kale kabegi kako mgongoni ulimwambia mzazi wako kuwa unaenda kuwatamani wake za watu?? Ati handisamu, alikuwa kipofu alipomwona huyo mumewe?? Kweli, ndo maana mbwa hujipeleka mwenyewe kwa chatu
 
Back
Top Bottom