Msaada: Mke wa mtu amenipenda mwenyewe

Msaada: Mke wa mtu amenipenda mwenyewe

Mpe masharti. mkapime ngoma hlf km yupo safi basi msaidie/mgegede tu hamna namna nyingine
 
Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.

Msaada jamani wakubwa zangu

Kuna mjinga mmoja alimdharau baba yake na kujifanya anajuwa nikamtumia ujumbe achana na mke wangu akajifanya yeye ni MBABE nikamwambia kwa hilo hata Mungu atanipigania nilifanya niliyofanya na sasa hivi anawasiliana na baba wa Taifa kama hilo unalitaka ingiza team, ili uwalize wazazi wako, kama amekuwa mkuu wa chuo anayo pesa ya kukudhibiti au kutoa milioni mbili kukushughulikia wewe. Kwanza huhitaji hata ushauri kama ulifundwa vizuri na wazazi wako na kama umekuzwa na dini hilo halihitaji ushauri mwambie wewe unamuheshimu kama mwalimu wako na zaidi ya yote kama dini unayo mwambie dini yako hairuhusu mambo hayo wewe bado mdogo ila ukijifanya kidume cha mbegu haya baba tutakuimbia TANGULIA MWALIMU.
 
Kuna mjinga mmoja alimdharau baba yake na kujifanya anajuwa nikamtumia ujumbe achana na mke wangu akajifanya yeye ni MBABE nikamwambia kwa hilo hata Mungu atanipigania nilifanya niliyofanya na sasa hivi anawasiliana na baba wa Taifa kama hilo unalitaka ingiza team, ili uwalize wazazi wako, kama amekuwa mkuu wa chuo anayo pesa ya kukudhibiti au kutoa milioni mbili kukushughulikia wewe. Kwanza huhitaji hata ushauri kama ulifundwa vizuri na wazazi wako na kama umekuzwa na dini hilo halihitaji ushauri mwambie wewe unamuheshimu kama mwalimu wako na zaidi ya yote kama dini unayo mwambie dini yako hairuhusu mambo hayo wewe bado mdogo ila ukijifanya kidume cha mbegu haya baba tutakuimbia TANGULIA MWALIMU.

sawa kaka nimekuelewa
 
Kwanini unataka kuharibu maisha yako kwa starehe za muda mfupi....??

Hilo jambo unalotaka au kushawishika kulifanya ni la hatari sana kuliko unavyodhani....ni jambo linaloweza kuharibu ndoto zako na mipango yako yote ya maisha yako......

Nikiwa kama kaka yako kipenzi...nakusihi na kukuasa....umuepuke na kumkimbia huyo shetani aliyekuja katika sura na umbo kama la huyo madam...

nimekuelewa kaka
 
Tukushauri kuzini, it means na sisi tutakuwa wazinifu.
Achana na mke wa mtu tafuta wa size yako.

haya ni majaribu lakini nitayashinda,ila madam yupo vzr ana bonge tako
 
Kula mzigo dogo,,mwambie akupangie na chumba kabisa ili umle vizur thn hama kabisa na chuo usichezeee bahat hiyo kula pesa na mzgo risk zipo ila kuwa makin tu

kula mzigo nataka lakini naogopa isije kuwa.kwa vile chuo mwaka huu ndio mwisho..nitamtafuna kisela
 
Upele humuota asiye na kucha

mtaka nyingi na saba hupata mimgi misiba

dunia hadaa ulimwengu shujaa

asiyesikia la mkuu huvunjika guu

ngoja ngoja huumiza matumbo

Kawia ufike kijana

Natafuta shule inayofundisha ujinga
asipokuelewa basi
 
Mega huo mzigo si kajileta mwenyewe ila chunga sana akijua mwalimu mmoja tu ujue hata bro wa India naye atakuwa amejua jambo ambalo litakuwa limeharibu njonzi yako ya masomo
 
Una nyota ya kupendwa ww kijana soon utapendwa na mume wa huyo mwalimu
 
Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.

Msaada jamani wakubwa zangu

Wewe ni mjinga sana, yaani hata usipomkubalia huyo mama, hata masomo yako hutafaulu vizuri na uwezekano ni mkubwa usimalize hiyo diploma yako... Soma hii thread yako utagundua kwanini nimekuambia wewe ni mjinga sana... rudia utagundua tu....
 
Upele humuota asiye na kucha

mtaka nyingi na saba hupata mimgi misiba

dunia hadaa ulimwengu shujaa

asiyesikia la mkuu huvunjika guu

ngoja ngoja huumiza matumbo

Kawia ufike kijana

Natafuta shule inayofundisha ujinga

Kuna wakati hata mtoa mada ina mbidi acheke tu ... Hamna jinsi

Sasa hivyo vitendawili na nahau ndo nini? Maana yake...
 
pima madhara ya sup na madhara ya kutembea na mke wa mtu.sup si tatizo ila la mke wa mtu ni janga kwako simama kama mwanaume umchomolee huyo mother. kama anakupenda kweli mwambie aombe talaka umuoe ila si kwa siri kama anavyotaka yeye
 
Hivi huogopi kuandika huo ujinga humu? Je kama mume wake anapita hapa nakusoma mana kwa maelezo ulotoa ni rahisi kabsaaaaaaaaaa mtu kufahamu ni nani kama anapita hapa JF, Muwe makini na maushauri mnayoomba, ungesema unasomea ualimu kungekuwa na tatizo au hata ungetaja sharia, hapo sidhani hata hayo maelezo ya unasomea nini na mumewe yuko nchi gani yanahusu? labda iwe umedanganya.
 
Banjua zipo ila jamaa akirudi Tu, Atakutema akagero Kao kayo.
 
Back
Top Bottom