nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,408
- 8,223
dah mkuu chuo chenyewe ndo kwanza umeanza juzi jaman...mi nlishakwambia uachanane nae huyu bmkubwa bwana!!shauri yako utaishia kutuangalia wenzio tukiingia second yearMimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu