Ni vyema ajue mke wake ni mpenda penda ili achukue hatua, bora dogo kaomba ushauri.Hivi huogopi kuandika huo ujinga humu? Je kama mume wake anapita hapa nakusoma mana kwa maelezo ulotoa ni rahisi kabsaaaaaaaaaa mtu kufahamu ni nani kama anapita hapa JF, Muwe makini na maushauri mnayoomba, ungesema unasomea ualimu kungekuwa na tatizo au hata ungetaja sharia, hapo sidhani hata hayo maelezo ya unasomea nini na mumewe yuko nchi gani yanahusu? labda iwe umedanganya.
angalia na wewe usije ukapendwa na mumewe pindi atakapo rudi.....kwakuwa wewe nikijana handsome mzuri bila shaka anaweza akakufanya mke wa pili kwa uzuri wako.Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu
mwenye mke wake ni member wa jf kwa hakika atakuwa ameiona hii post popote pale alipo kama alikuwa na mashaka na mke wake anageuza muda wowote kufanya fumanizi......stay away from somebody's wife.Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu
Maandiko matakatifu yanafundisha dawa ya Zinaa, ni kuikimbia tu! Hakuna namna nyingine.Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu
Mkuu umeamua kutoa ushauri kwa style ya vigano hii kaliiiiUpele humuota asiye na kucha
mtaka nyingi na saba hupata mimgi misiba
dunia hadaa ulimwengu shujaa
asiyesikia la mkuu huvunjika guu
ngoja ngoja huumiza matumbo
Kawia ufike kijana
Natafuta shule inayofundisha ujinga
Sio vzr. kaa nae mbali muepuke km ukoma. ni dhambi kubwa sanaMimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu
"....Dogo Utakufa siku sio za kufa wewe"Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu
Mie mbavu zangu jamanKabla hujalianzisha ungepima kabisa diameter a.k.a kipenyo cha channel o yako, uandike kwenye diary, utunze.....coz yakija kukukuta utakuwa na reference ya BEFORE and AFTER.