computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 509
- 543
pole sana mi mwenyewe yalishawahi kunikuta ila mi ilikuwa ni kitaani sio shule ..........Mama ntilie anataka kunipwelepwetaMimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.
Msaada jamani wakubwa zangu