Msaada: Mke wa mtu amenipenda mwenyewe

Msaada: Mke wa mtu amenipenda mwenyewe

Hakunaga mapenzi ya siri, elewe huyo mkuu wa chuo japo yuko mbali lakini anamarafiki na staff wenzake ambao wakishasikia hizo habari lazima wamwambie muhusika, sasa ndo ujiulize ataamua nini akishapata hizo taalifa. Wewe bado mdogo utapoteza ndoto za maisha yako kwa kitu ambacho kinaepukika
 
Kuwa na kawaida ya kuchart kwa sms hakikisha haufuti sms zake akishazungumza ujinga wake mwingi mwambie haiwezekani na umwambie una sms zake za kutosha hata simu mrekodi mwambie akikuzingua utapeleka habari zake takukuru basi
 
Kuwa na kawaida ya kuchart kwa sms hakikisha haufuti sms zake akishazungumza ujinga wake mwingi mwambie haiwezekani na umwambie una sms zake za kutosha hata simu mrekodi mwambie akikuzingua utapeleka habari zake takukuru basi
Nashauri JF muanzishe FORUM YA WATOTO,wajiburudishe na HADITHI KAMA HIZO!
Sasa we ushaambiwa iwe siri alafu unasema tena kwa watu wengi hv mme wake yupo humu ujue
 
Mods huyu mtoa thread si marehemu sasa. Huu uzi ungeondolewa.
 
Kwanini unataka kuharibu maisha yako kwa starehe za muda mfupi....??

Hilo jambo unalotaka au kushawishika kulifanya ni la hatari sana kuliko unavyodhani....ni jambo linaloweza kuharibu ndoto zako na mipango yako yote ya maisha yako......

Nikiwa kama kaka yako kipenzi...nakusihi na kukuasa....umuepuke na kumkimbia huyo shetani aliyekuja katika sura na umbo kama la huyo madam...
Siku ya siku utaona kilichomtoa nyoka pangoni.[HASHTAG]#Sitaki[/HASHTAG] ujinga mimi
 
Mimi ni kijana wa miaka 20 nasoma chuo cha utabibu dip in clinical medicine,madam ananifundisha somo la anatomy, ameniambia kuwa ananipenda sana ameniambia mimi ni handsome nina tabia nzuri anataka tuwe na mahusiano ya siri,mume wake ni mkuu wa chuo wa hapa ninaposoma lakini ameenda kusoma India, kitu ninachokihofia kama nikikataa anaweza kunipa supp za makusudi.

Msaada jamani wakubwa zangu
Nipe namba yake, maana naona wewe unaremba!
 
Oa nawe tumpende wa kwako kama ni vizuri na salama halafu uje urudishe mrejesho
Umenena sana mkuu@Odhiambo akishaoa na yy akafanyiwa kama hayo ndio atajua uchungu waku fanyiwa hivyo
1479810042855.jpg
 
Back
Top Bottom