Msaada lodge nzuri Morogoro

Msaada lodge nzuri Morogoro

Sina hamu napo kabisa palinipa Gono si la nchi hii mwaka 2001 ( wengi wenu hapa mkiwa bado katika Zipu za Baba zenu ) na Demu ( Goma ) nililolinunua pamoja na 'Kulitindua' vizuri bado lilijisahau na Kujisaidia Haja Kubwa ( tena ya maana ) pale pale Kitandani na akasepa na kuniachia 'Msala' ambao hata hivyo 'Mtoto wa Mzizima' niliumaliza 'Kidiplomasia' zaidi.
Hahahaha mkuu ulitaka akuharishie nin na yy akafanya kama ulivyotamani
 
Kuna ile ya gorofa pale katibu na shely n stand ya dodoma wanaita sijui jovu nini huko,
Bei kubwa huduma mbovu ndan pabovu...kama wamo humu wajue hivo.

Nilipokuwa napita usiku naona mataa kama yote ya rangi rango gorofan nikjua kuna la maana kuumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea Flomi Hotel au?
 
Hamna sio guest

Morogoro kama haiongozi nadhani inafatia kuwa na nyumba za kupumzikia nyingi mnoo

Guest kule zinaanza 4000 mpka 8000 chache ndo 10000

Lodge kule mazingira mazuri vyumba safi self contained usalama upo vinaanza kuanzia 12000 kama sikosei au 14000 nadhani nasemea lodge kabisa mkuu sio guest ilichangamka


Ndo kitu ninachopendea ule mkoa mambo easy na cheap.
Basi inabidi ujue maeneo
La sivyo utalala sehemu ya ajabu .
 
Hamna sio guest

Morogoro kama haiongozi nadhani inafatia kuwa na nyumba za kupumzikia nyingi mnoo

Guest kule zinaanza 4000 mpka 8000 chache ndo 10000

Lodge kule mazingira mazuri vyumba safi self contained usalama upo vinaanza kuanzia 12000 kama sikosei au 14000 nadhani nasemea lodge kabisa mkuu sio guest ilichangamka


Ndo kitu ninachopendea ule mkoa mambo easy na cheap.
Basi inabidi ujue maeneo
La sivyo utalala sehemu ya ajabu .
 
Na quality inaendana na gharama

Quality ndogo pesa ndogo quality kubwa pesa kubwa ndio iko hivyo siku zote

Ndo maana kuna za bei tofauti lodge ya 15k 20k 30k na kuendelea zenye huduma tofauti kutokana na mfuko wako


Ndo maana mtoa mada anesema anahitaji kuanzia 15k angeweza kusema anataka ya 30k kuanzia ila ameangalia na mfuko wake

Si unajua si wote tuna hali ya uchumi mkubwa au uchumi unafanana
Nimejaribu kusoma michango yako nimegundua uko rigid na unafikiri vitu vingi ni constant
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom