Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Wasukuma tumewakosea nini aisee?Hata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
Wasukuma tumewakosea nini aisee?Hata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
OGKwani Wangari Maathai ww si msukuma og?,au nakosea ndg zanguni?!
Hahaha mkuu kwanza unaanzaje kulala hapo kama hawakuui si wanakuibia
Na quality inaendana na gharamaPoint hapa sio gharama..point hapa ni quality
Kuna muheshimiwa aliibiwaga pesa na bunduki na wale wadada wa pale naskia alipaka dawa kwenye maziwa akamnyonyeshaSina hamu napo kabisa palinipa Gono si la nchi hii mwaka 2001 ( wengi wenu hapa mkiwa bado katika Zipu za Baba zenu ) na Demu ( Goma ) nililolinunua pamoja na 'Kulitindua' vizuri bado lilijisahau na Kujisaidia Haja Kubwa ( tena ya maana ) pale pale Kitandani na akasepa na kuniachia 'Msala' ambao hata hivyo 'Mtoto wa Mzizima' niliumaliza 'Kidiplomasia' zaidi.
Point yangu imetokea neema lodge..uliposrma pako vyema nikakataa..pale ht 8000 unalalaNa quality inaendana na gharama
Quality ndogo pesa ndogo quality kubwa pesa kubwa ndio iko hivyo siku zote
Ndo maana kuna za bei tofauti lodge ya 15k 20k 30k na kuendelea zenye huduma tofauti kutokana na mfuko wako
Ndo maana mtoa mada anesema anahitaji kuanzia 15k angeweza kusema anataka ya 30k kuanzia ila ameangalia na mfuko wake
Si unajua si wote tuna hali ya uchumi mkubwa au uchumi unafanana
Ila kweli Lodge ni nyingi sana Morogoro tena ziko mazingira mazuri sana.Yaani ww gest ya 12k unaisifia hvyo? Hahahaa ukiishi karibu na mm uta!kuna lodge mwanza ukiingia unavua maviatu yako bila kuambiwa..sijui nikuelezeje
Acha kabisa, kahumba palitisha sana enzi hizo
Kuna muheshimiwa aliibiwaga pesa na bunduki na wale wadada wa pale naskia alipaka dawa kwenye maziwa akamnyonyesha
Pindi enzi hizo npo sua mitaa ya hosteli zetu wami pale na vile karibu tulikuwa tunaponea pale tunapaita fuculty elfu 4000 yako tu
Ila mkuu uliwezaje bila kinga una roho ngumu sana hahah
Hao ni waha sio wasukumaNiliwah pishana na wSukuma hapo wanasmell kinyesi kbs...wanalalaga hapo
Logde ya 12,000??? Tafadhali naomba kupelekwa.Hamna sio guest
Morogoro kama haiongozi nadhani inafatia kuwa na nyumba za kupumzikia nyingi mnoo
Guest kule zinaanza 4000 mpka 8000 chache ndo 10000
Lodge kule mazingira mazuri vyumba safi self contained usalama upo vinaanza kuanzia 12000 kama sikosei au 14000 nadhani nasemea lodge kabisa mkuu sio guest ilichangamka
Ndo kitu ninachopendea ule mkoa mambo easy na cheap.
Hivi mkuu ule mkoa na lodge zote zilePatachangamkaje wakati 85% ya 'Waliolala' Usingizi wao wa Milele kule 'Kola' hicho 'Kilichowalaza' na 'Kuwakondesha' kama 'Chelewa' walikitoa katika hiyo hiyo ( hii hii ) Lodge 'Kongwe' Morogoro Mjini Ndugu?
Sio lodge..
Morogoro kunA chimbo za starehe?? Zipi mkuu..moro hapana starehe yytHivi mkuu ule mkoa na lodge zote zile
Guest kama utitiri
Na hayo machimbo ya starehe ndo usiseme
Eti katika takwimu la hili gonjwa letu eti Morogoro haipo juu sijui inaongoza njombe
Hizi takwimu hatujapigwa kweli
humtakii mema mkuuKahumba 'Ngoma' Lodge ni nzuri sana.
...kahumba wapo mpaka mashogaI mean chimbo za connectionMorogoro kunA chimbo za starehe?? Zipi mkuu..moro hapana starehe yyt
Weee!I mean chimbo za connection
Kule ndo balaaa sasaWeee!
Hivi mkuu ule mkoa na lodge zote zile
Guest kama utitiri
Na hayo machimbo ya starehe ndo usiseme
Eti katika takwimu la hili gonjwa letu eti Morogoro haipo juu sijui inaongoza njombe
Hizi takwimu hatujapigwa kweli
humtakii mema mkuu...kahumba wapo mpaka mashoga
Sikumbuki vzr ila ina range kwenye 12-14000 hapa