Diss Meddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 589
- 1,292
Kumalija ndo napolalaga nikiwa MwanzaYaani ww gest ya 12k unaisifia hvyo? Hahahaa ukiishi karibu na mm uta!kuna lodge mwanza ukiingia unavua maviatu yako bila kuambiwa..sijui nikuelezeje
Kumalija ndo napolalaga nikiwa MwanzaYaani ww gest ya 12k unaisifia hvyo? Hahahaa ukiishi karibu na mm uta!kuna lodge mwanza ukiingia unavua maviatu yako bila kuambiwa..sijui nikuelezeje
kama ni muislamu asije shindwa swaum...Nimemtajia Loji ya Kumpa Faraja huko.



..pale si mchezo...ila atleast maeneo yale yamechangamka akienda kupata msosi coco beach pale sio mbay.....Unampelekea nani cookie hio jamani 😋😋😋 ujue hadi nimepata kawivu flani
City Dreams mtaa wa vibandani karibu na Dolphin
hapa mahala hatari sana. hivi bado pana uhai?Kahumba 'Ngoma' Lodge ni nzuri sana.
hapa mahala hatari sana. hivi bado pana uhai?
Sijui sijaenda muda,jiran nayo Kuna City dreams pako poa sanaHivi Dolphin bado ni lodge?
Uhuni mwingi sana usiokuwa na maana
Neema gest house haina parking mkuu...unapak hapo nje tena ubane balaa maana kuna kona pale1. Kuna usalama ??
Hapo nilipoenda usalama ulikuwepo ndio ..pia imezungukwa na ukuta
2. Maji ya moto (heaters) ?
Hapana
3. AC ?
Ipo feni ile ya juu ya umeme
4. Packing ??
Sio kubwa
5. Mataulo masafi ??
Ndio
6. Mashuka masafi ?
Ni masafi meupe
7. Usafi wa mazingira ??
Wako vizuri
8. Ambiance ??
Mandhari ni mazuri sio mabaya
9.plus wahudumu wako vizuri kuhudumia unasikilizwa
Hio ni chini ya 15
Nb
Sasa ukiwa na bajeti kama 20k na kuendelea unaweza kuta nyengine ndo zina kama heaters.
Sasa kama mtoa mada mwenye bajeti ya 15k anashindwa vip kui enjoy hapo
Ifakara kumekucha, hawa na bhanamhala to & from Simiyu na Malinyi na huko Lupiro, Ngeta, Mlimba.Hata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
vanilla lorge ipo laund about ya sua
Nilikuwa naongea na jamaa tofauti na hii mada ya lodge Morogoro kuna uhuni mwingi starehe ukasema starehe gani Morogoro ipo ukimaanisha zile unazojua weweIla we jamaa wewe...haueleweki...why hauelewek namna hiyo?be specific Moro kuna connection zipi?


Unampelekea nani cookie hio jamaniujue hadi nimepata kawivu flani


afu wee ujue nime miss masikhara yako, hebu nambie kwan huo wivu wee umeanza lini eti?Twende mwakani tukalimeIfakara kumekucha, hawa na bhanamhala to & from Simiyu na Malinyi na huko Lupiro, Ngeta, Mlimba.
Msimu wa kilimo wapo Morogoro, msimu ukiisha wanaenda kununua ng'ombe na kuoa huko!
Everyday is Saturday................................😎
Hii Sweet Africa Lodge naionaga tu mkuu. Maana nimeshalala lodge zingine ambazo zipo mtaa mmoja na hii.Sweet africa lodge
Hahaha mm nilikutana nae kwenye zile live bandMimi pia nilipataga kifaa nikakipeleka pale nilikuwa natokea mbeya nikasema ngoja nipoe siku mbili moro ndo nikakichinjia pale pale manzi nilimuokotea florida
Sikumbuki vzr ila ina range kwenye 12-14000 hapa