Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,206
Ulienda mwaka gani ?Hata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
Ushawahi kuilalia.?
Mbona unachosema.ni tofauti na nilichokuta
Maana mi mara mwisho kwenda moro ilikuwa 2019 na niliikuta nzuri tu bei sio 10k
Na vyumba vizuri tu self contained sijawaona wasukuma
Tena imetulia imejitenga yenyewe pembeni mwa ukuta wa Msamvu

!kuna lodge mwanza ukiingia unavua maviatu yako bila kuambiwa..sijui nikuelezeje