Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Usisahau kuleta mrejesho mkuu
Mimi naona lodge uende na mashuka yakoDuuh, lodge ya 12 iwe nzuri kweli? Hayo mashuka anayafua kila siku na dawa chooni anaweka na manukato?
Wachangiaji wengi wameshindwa kuelewa swali, mtu ameuliza lodge ya kiasi cha 15,000 hadi 25,000 alafu watu wanamtajia Hotel ya Flomi ambapo usingizi mmoja unalipia 120,000
Jamaa wanataka mwenzao ashindwe kumudu gharama![]()


Huduma nzuri na wahudumu waelewa..Hii Sweet Africa Lodge naionaga tu mkuu. Maana nimeshalala lodge zingine ambazo zipo mtaa mmoja na hii.
Hebu nipe sifa zake
Bei yake ipoje?Bei nafuu kalale Suleiman Lodge ipo njia ya kwenda mjini ukitoka Msamvu au maeneo ya karibu na gereji ya BM kuna Lodge nzuri.
bei?Huduma nzuri na wahudumu waelewa..
Sure naijua..kuna mlokole mmoja anajifichiaga hapo ananywea hapo..dah maisha haya..ni famous Moro...ana kanisa lake..so hucho ndo kijiwe chake..anakunywa hapo jumapili anahubiri kanisaniKuna lodge iko nyuma ya jengo la Hotel ya Morena, alinipeleka boda boda mmoja. Aisee kumbe wakipeleka mteja wanakula commission.
Hahaha nan huyo mkuuSure naijua..kuna mlokole mmoja anajifichiaga hapo ananywea hapo..dah maisha haya..ni famous Moro...ana kanisa lake..so hucho ndo kijiwe chake..anakunywa hapo jumapili anahubiri kanisani
Mshikaji fulani ana maduka fulaan maarufu hapa mjini...
Nashera mkuu kama usiku unaweza boreka...last tym niliend n wanNgu nilijikuta alone tu hata wine haipandi....inategemea na mtu na mtu lakiniZipo nyingi nzuli Iline Dilux au kama unajiweza kale bata Nashera hotel
Napapenda kwa nyuma tu pale kuna kiwanja kizuli night club kila kitu poa sema nashera usipomuandikisha haingiiNashera mkuu kama usiku unaweza boreka...last tym niliend n wanNgu nilijikuta alone tu hata wine haipandi....inategemea na mtu na mtu lakini
Kwa nyuma sehem gan? Hii njia ya kwenda nguzo? Motown?Napapenda kwa nyuma tu pale kuna kiwanja kizuli night club kila kitu poa sema nashera usipomuandikisha haingii
Hapana kama unapanda mlimani alafu unakunja kushoto ok nilienda kama mara 2 ivi seminar pazuliKwa nyuma sehem gan? Hii njia ya kwenda nguzo? Motown?
Ohh sawaHapana kama unapanda mlimani alafu unakunja kushoto ok nilienda kama mara 2 ivi seminar pazuli
Mkuu huwapendi wasukumaHata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k


Afu ajabu ndo kabila langu😅,wanaboa hawanaga ustaarabMkuu huwapendi wasukuma![]()