Msaada lodge nzuri Morogoro

Msaada lodge nzuri Morogoro

Ukifika Morogoro mahali sahihi pa kulala ni Spring Hill Hotel
Bei elekezi Tsh. 30,000/ hadi 40,000/
 
Nenda kwa babu misufini chimbo wanalochinjwa sana wake za watu na wateja wengi ni bodaboda na madereva bajaji na hapo anataka zaidi show time kuliko kulala maana utakuta wateja wengi wanasubiria huduma mapokezi utafikiri wapo hospitali wanamsubiri dokta
 
Kam una ishu mjini kati nenda ukakae moro star lodge hizo za msamvu ni mbali sana
 
Wachangiaji wengi wameshindwa kuelewa swali, mtu ameuliza lodge ya kiasi cha 15,000 hadi 25,000 alafu watu wanamtajia Hotel ya Flomi ambapo usingizi mmoja unalipia 120,000😀😀🙌

Jamaa wanataka mwenzao ashindwe kumudu gharama😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom