Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Eh kumbeHata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
Eh kumbeHata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
Eeh utajutaNENDA LYAMUNGO LODGE,NI KAMA UNAENDA SUA MAIN CAMPUS ILA UTAKATA KULIA (UKIWA SUA ROAD),25k ila utalala kwa amani kabisa,nakukumbusha usilale nyumba ya 10k,utapata taabu sana;
Niliwah pishana na wSukuma hapo wanasmell kinyesi kbs...wanalalaga hapoEh kumbe
Mitaa hiyo inaonekana pazuriPiece mountain lodge hii ipo maeneo ya rock garden eneo la utulivu sana upepo na kijani ya kutosha sana vyumba Safi aisee binafsi kila napoingia moro hujikuta naingia pale
Hiyo gharama ulotaja ndo mikunguni balaaChini ya hapo mkuu ni kunguni tu na makelele na harufu za hovyo zitakua zinakufuata
Ndio uzur wa guest inasaidia time management yko iwe sawia pili hamu ya kuwala wahudum inakuwa ndogo maana ni wazee au mdada anaejichubua na mlevi aliekubuhuEeh utajuta
Kuna siku nililala guest ya elfu kumi , usiku ulikuwa mrefu mno . Nikaondoka saa kumi na mbili kamili .
Aisee hatari SanaNiliwah pishana na wSukuma hapo wanasmell kinyesi kbs...wanalalaga hapo
Ah kweli kabisaNdio uzur wa guest inasaidia time management yko iwe sawia pili hamu ya kuwala wahudum inakuwa ndogo maana ni wazee au mdada anaejichubua na mlevi aliekubuhu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hii bei mifugo lazma usiku iamke ikanywe majiSikumbuki vzr ila ina range kwenye 12-14000 hapa
Kwa nini mkuu mnapendaga kulala lodge za bei ya chini hivyo? Hujihurumii? Hizo wale jamaa zangu wa short time huwa wanazichafua mno! Tafuta ya kuanzia 30 and above!Habari wakuu
Soon nitaelekea morogoro naomba msaada wa kujua lodge nzuri
Location-Morogoro mjini
Range from 15k-25k
Natanguliza shukrani
Sio mtaalamu sana ila kibongobongo tofauti ipo. Lodge kidogo ina hadhi hata mazingira yake ni mazuri...guest house imekaa kilocal mno...hata wageni wanaenda huko ni watu flani level ya wanyongeHivi kuna tofauti gani kati ya Lodge na Guest House ?
Ulijitahidi hata hivyo ulifika mpaka alfajiri,mimi ningetoka saa 7 usiku na mabegi yangu.Eeh utajuta
Kuna siku nililala guest ya elfu kumi , usiku ulikuwa mrefu mno . Nikaondoka saa kumi na mbili kamili .
mkuu bila kuweka preference zako si utalala matombo? kuna maeneo yana bei nzuri ila unakuta ni mbali na huduma.Habari wakuu
Soon nitaelekea morogoro naomba msaada wa kujua lodge nzuri
Location-Morogoro mjini
Range from 15k-25k
Natanguliza shukrani
Kwani wasukuma wamewakosea nini 🤣🤣🤣Hata bure silali...si hii opp na ukuta w msamv mkuu? Wanajilazaga wasukuma hapo wanaoenda ifakara balaa hahaa nadhan ni 10k
Wanajulikana kwa ustaarabu wao tuKwani wasukuma wamewakosea nini 🤣🤣🤣
Numechekaaa🤣🤣🤣Usiombe kulala sehemu moja na wasukuma jamani nasemaje usiombe ni mtihani mzito sana.
yaani unapajua adi matombomkuu bila kuweka preference zako si utalala matombo? kuna maeneo yana bei nzuri ila unakuta ni mbali na huduma.