malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,789
- 4,480
Habar wakuu Niko njiani kuelekea Tanga,naomba wazoefu wa tangu lodge nzuri karibu na stend au mjini kiwango ni 30000-45000
Njoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060). Nirushie picha kwa whatsapp ukiwa umebinuka nikuone vizuri. Nimesaidia vijana wengi kama weweHabar wakuu Niko njiani kuelekea Tanga,naomba wazoefu wa tangu lodge nzuri karibu na stend au mjini kiwango ni 30000-45000
Duuh kuna watu wana bahati🙃🙃🙃Njoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060)
Mwee ajichunge sana, dunia iko uchi hiiNjoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060)
Njoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060)Njoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060)
Hii ya maji taka vipiSema Tanga lodge zao zote zina harufu ya maji taka (nya). Ni kwasababu wao wameunganishwa na mfumo wa maji taka, kwahiyo ujinga wa ule mfumo, unarudisha harufu ndani. Tofauti na hizi za mashimo.
Utupe MREJESHONjoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060)
Safi sana.Njoo ufikie kwangu barabara ya 3. Gharama zote kwangu kulala, kula na kunywa (Tuwasiliane 0716676060)
Wanazingua. Ilipaswa wawe na system ya kuzuia hii harufu. Wenyewe wanaimask na air fresheners na madonge yale ya vyooni.Hii ya maji taka vipi
Sio hatari kweli ukiacha harufu
Nyinda Executive kitambo sahivi kawaida.Nyinda
Wale itakuwa waligawana maana mmoja kashakufa.Nyinda Executive kitambo sahivi kawaida.
Siunajua mgeni mara yakwanza kufika Tanga,kwaiyo tunauliza tupate sehemu nzuri yakulala usingizi nzuri kuliko changamka nauhakika wa chakula kizurTanga si kuna stendi mbili pale, ya mabasi na daladala au?...hukosi yaani ukizunguka hata mwenyewe Tu lodges kibao zipo au uliza wenyeji hapo karibu. Halafu lodge zao bei chee kabisa.