Poa poaWanakuja Sasa
Mchumba tena Mkuu ?Panda gar njoo songea lodge ya buku 5 ina tv, wifi,self conten, mchumba,
yaah mkuu huku wanajua kujali mteja, hata ukitaka, ukiongeza elfu 7 wanakuwekea na ndoa yaan ukirud, unarud na mke mwenye mimba yakoMchumba tena Mkuu ?
Tinga tinga buku 50,km ipo chupi unaokota tu Pentagon pale.Habari Wakuu,
Nategemea kuwepo Mtwara mjini kwa wiki mbili kikazi.
Naomba kujua lodge nzuri na safi hasa zenye internet kwa 30,000 - 40,000.
Asanteni.
Sawa Mkuu, tuwe serious sasa suggest yenye heshima kiasiyaah mkuu huku wanajua kujali mteja, hata ukitaka, ukiongeza elfu 7 wanakuwekea na ndoa yaan ukirud, unarud na mke mwenye mimba yako
ingekuwa masasi ningeweza kuwa na jibu, ama liwale.Habari Wakuu,
Nategemea kuwepo Mtwara mjini kwa wiki mbili kikazi.
Naomba kujua lodge nzuri na safi hasa zenye internet kwa 30,000 - 40,000.
Asanteni.
haha mkuu miaka hy ya digit unaulizia lodge, umeshindwa hata kumuhoji IA, mbona anazijua lodge za kila mtaa unaokwenda mpaka, bei zake huku jf sisi ni watakatifu tunalala makanisan, na misikitinSawa Mkuu, tuwe serious sasa suggest yenye heshima kiasi
Familia vipi umechomoka Ban?Ngoja Poor Brain, na Mpaji Mungu wakupe mwongozo.
Hebu nipe abc za liwale loji ipi nzr na bei zakeo
ingekuwa masasi ningeweza kuwa na jibu, ama liwale.
ila siku hizi simple sana , ukishuka stand uliza boda bods watakupa info za kutosha.
Kabisa,na breakfast anapata bure.Panda gar njoo songea lodge ya buku 5 ina tv, wifi,self conten, mchumba,