Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,206
Hata mimi nasema hivyo kuanzia ma pub,.bar, mpka ma club na kuna hio.mitaa hiyo kama.Kama kuna Mkoa ambao leo hii nikiambiwa niuteue kuwa Kinara wa UKIMWI ( Solo Gitaa ) Tanzania nzima wala sitochelewa Kuutaja Mkoa wa Morogoro.
Mafiga
Mafisa
Chamwino
Huko ndo balaa wanawake wamekuwa kama kuku wa kisasa
Sijui sahivi hali ikoje huko
Morogoro ni balaa


!kuna lodge mwanza ukiingia unavua maviatu yako bila kuambiwa..sijui nikuelezeje

