Msaada jamani hiki ni nini?

Msaada jamani hiki ni nini?

Mchungaji kamtega huyo ili siku ya pili aende kanisani kwake akamle pesa
Mchungaji gani anaweza kuandika zindiko kama hilo we maalim ubwabwa vipi
Hebu msaidie huyo kufunua majini yenu
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Sio kiarab no maneno ya kishirikina
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Wajinga hao isikutishe chochote endelea na maisha yako.
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Lengo la aliyeweka hapo ni kumtishia anayeishi hapo nyumbani.

Usiogope, kichome moto nje ya fanesi ya nyumba yako.
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Pole, usiogope jipe moyo mkuu. Omba, ikiwezekana shirikisha na watu wa imani yako, kisha mchome vyote!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo ndio nimeamini Waislamu Wa Jf ni Makopo, Kila siku kusoma juzuu na kwenda Chuo, mmeshindwa kutafsiri Hio kitu mumsaidie Mwana?
Au ndio mnalindanaa??

Oya mwamba usioogope, Mwagia mchuzi wa Nyama pendwa View attachment 2919366
Duuuùùuuuuu si kwa huu mkitimoto..yani huu tunaula JF yote na tunabakiza
 
" Kuna sehemu nlikuwa napahitaji sasa mwenye eneo nimeongea nae vzr hataki kuniuzia, nikacheza na akili yake siku ya kwanza nikamnyoa paka vinyweleo vya shingoni afu nikampeleka mitaa anayokaa jiran jiran alipanick sana akaniita tulipiga sana maombi

Mara ya pili nikamnyonyoa kuku manyoya yote af nkamwachia aende kwa yule jiran.....yule jiran aliniita akanambia nipe Hela yeyote chukua Hili eneo maana wachawi wananisumbua sana" Rev Richard Hananja
 
Back
Top Bottom