zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Hapa ndo nilipoishia kuendelea kusoma posts nyingine 😄Introduction
Hapa ndo nilipoishia kuendelea kusoma posts nyingine 😄Introduction
hiyo ni janja janja ya majirani zako kukupima Imani uogope kuishi apo meaning kwamba hawakutaki wew uishi apo but kwa asie na hatia na mwenye Imani thabiti haina madhara yoyote, ni ya kupiga maombi ya nguvu na kuichoma moto tu 🐒Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Wanasema watakutoa kafara wewe!Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Wanajifanya hawaoni maandishi yao 🤣Mliosoma madrasa mnaangusha,, hata mmoja anayejua lugha hamna.
Usiogope hayo ni yao hayakuhusu.
Chaihiyo ni janja janja ya majirani zako kukupima Imani uogope kuishi apo meaning kwamba hawakutaki wew uishi apo but kwa asie na hatia na mwenye Imani thabiti haina madhara yoyote, ni ya kupiga maombi ya nguvu na kuichoma moto tu 🐒
huo ni mtaji wa kuimarisha na kuongeza Imani yako 🐒
miaka ya nyuma nikiwa mtumishi wa umma ajira ya kwanza kabisa, katika kijiji nilipopangiwa siku ya pili tu tangu niripoti kazini,
usiku nikafungiwa kwa nje na kufuli kabisa na watu wasio julikana, huku hapo mlangoni pakiwa pametapakaa damu ya kuku mweupe jogoo, mkubwa sana na alienona mno, alikua amechinjwa apo mlangoni pangu, sambamba na jogoo palikua na nazi ilovunjwa, ilikua imeandikwa kwa lugha nisiyo ielewa inafanana na hiyo🐒
kwasabb nilikua na msingi thabiti wa Imani, nilitoa taarifa kwa wafanyakazi wenzangu na serikali ya kijiji wakaja wakavunja kufuli nikatoka, baada ya kuvunja lile kufuli kwa njee, tulimnyonyoa yule jogoo tukamchemsha supu na kidari na paja kilichobaki nikapika rosti ya mchuzi mzito na ile nazi 🐒
Aise ilikua amezingi sana na mpaka leo nipo nadunda tyu 🐒
hakuna kiarabu hapo ni uhuni tu ww choma moto tu hakuna madhara yeyote hao walio hama walikuwa washirikinaPoleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
😅kajisahaulisha alituomba ushauri wakati akiwa katika vita na bebe mama zake, nime mkumbusha tu asijifanye😇 ndala aliyo ibua mlangoni hajui imetoka wapi😌 Labda?Hapa ndo nilipoishia kuendelea kusoma posts nyingine 😄
nimeacha nimechukua za kwako ucjarAcha zako
huelewekikajisahaulisha alituomba ushauri wakati akiwa katika vita na bebe mama zake, nime mkumbusha tu asijifanye
ndala aliyo ibua mlangoni hajui imetoka wapi
Labda?
Yaani anakaribishwa JF kama Introduction yake mnyewe
Unapaswa kutulia ila uwe thabiti katika imani. Hilo ni zindiko na katatasi hiyo imeandikwa agano na majini na hata kuchorwa jini.Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Wala usiogope hakunaga kafara inayoandikwaga kwa kiswahili hivyo kuwa makini tu usitapeliwePoleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Hilo ni herizi choma moto wala usiogope huyo alie kuuzia nyumba hiyo alikuwa mshirikini hapa aliliwa hela wakampa hiyo karatasi na maandishi yaliyo andikwa kwa Zafarani kama ulinzi wake choma moto kisha maisha yaendeleePoleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Wewe unaamini sana ulozi,kununua nyumba sio ajabu bhana usimuogopeshe unaweza kujenga walozi wakakufuata tuNdo maana sipendi kununua nyumba ya mtu, aidha nijenge mm au ninunue ivunjwe nianze upya. Kuna mda unakaa nyumba ambayo tyr ina contract na majini