Msaada jamani hiki ni nini?

Msaada jamani hiki ni nini?

Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
hiyo ni janja janja ya majirani zako kukupima Imani uogope kuishi apo meaning kwamba hawakutaki wew uishi apo but kwa asie na hatia na mwenye Imani thabiti haina madhara yoyote, ni ya kupiga maombi ya nguvu na kuichoma moto tu 🐒

huo ni mtaji wa kuimarisha na kuongeza Imani yako 🐒

miaka ya nyuma nikiwa mtumishi wa umma ajira ya kwanza kabisa, katika kijiji nilipopangiwa siku ya pili tu tangu niripoti kazini,

usiku nikafungiwa kwa nje na kufuli kabisa na watu wasio julikana, huku hapo mlangoni pakiwa pametapakaa damu ya kuku mweupe jogoo, mkubwa sana na alienona mno, alikua amechinjwa apo mlangoni pangu, sambamba na jogoo palikua na nazi ilovunjwa, ilikua imeandikwa kwa lugha nisiyo ielewa inafanana na hiyo🐒

kwasabb nilikua na msingi thabiti wa Imani, nilitoa taarifa kwa wafanyakazi wenzangu na serikali ya kijiji wakaja wakavunja kufuli nikatoka, baada ya kuvunja lile kufuli kwa njee, tulimnyonyoa yule jogoo tukamchemsha supu na kidari na paja kilichobaki nikapika rosti ya mchuzi mzito na ile nazi 🐒

Aise ilikua amezingi sana na mpaka leo nipo nadunda tyu 🐒
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Wanasema watakutoa kafara wewe!
 
hiyo ni janja janja ya majirani zako kukupima Imani uogope kuishi apo meaning kwamba hawakutaki wew uishi apo but kwa asie na hatia na mwenye Imani thabiti haina madhara yoyote, ni ya kupiga maombi ya nguvu na kuichoma moto tu 🐒

huo ni mtaji wa kuimarisha na kuongeza Imani yako 🐒

miaka ya nyuma nikiwa mtumishi wa umma ajira ya kwanza kabisa, katika kijiji nilipopangiwa siku ya pili tu tangu niripoti kazini,

usiku nikafungiwa kwa nje na kufuli kabisa na watu wasio julikana, huku hapo mlangoni pakiwa pametapakaa damu ya kuku mweupe jogoo, mkubwa sana na alienona mno, alikua amechinjwa apo mlangoni pangu, sambamba na jogoo palikua na nazi ilovunjwa, ilikua imeandikwa kwa lugha nisiyo ielewa inafanana na hiyo🐒

kwasabb nilikua na msingi thabiti wa Imani, nilitoa taarifa kwa wafanyakazi wenzangu na serikali ya kijiji wakaja wakavunja kufuli nikatoka, baada ya kuvunja lile kufuli kwa njee, tulimnyonyoa yule jogoo tukamchemsha supu na kidari na paja kilichobaki nikapika rosti ya mchuzi mzito na ile nazi 🐒

Aise ilikua amezingi sana na mpaka leo nipo nadunda tyu 🐒
Chai
 
Hakuna
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
hakuna kiarabu hapo ni uhuni tu ww choma moto tu hakuna madhara yeyote hao walio hama walikuwa washirikina
 
Hapa ndo nilipoishia kuendelea kusoma posts nyingine 😄
😅kajisahaulisha alituomba ushauri wakati akiwa katika vita na bebe mama zake, nime mkumbusha tu asijifanye😇 ndala aliyo ibua mlangoni hajui imetoka wapi😌 Labda?

Yaani anakaribishwa JF kama Introduction yake mnyewe
 
Ushanunuq iyo ni yako so unatakiwa uiweke ktk ulinzi wako uo ni ulinz wake so waweza ukusanya tu kama uchafu alafu ulikosea ukutakiwa kufanya usafi wewe ungeajiri mtu
 
kajisahaulisha alituomba ushauri wakati akiwa katika vita na bebe mama zake, nime mkumbusha tu asijifanye ndala aliyo ibua mlangoni hajui imetoka wapi Labda?

Yaani anakaribishwa JF kama Introduction yake mnyewe
hueleweki
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Unapaswa kutulia ila uwe thabiti katika imani. Hilo ni zindiko na katatasi hiyo imeandikwa agano na majini na hata kuchorwa jini.

Maadamu uneshaiona na hata kuichimbua basi ina maanisha upo salama kwa kiasi flani ila yakupaswa kujiweka vizuri kiroho.

Uwe mwangalifu na hiyo nyumba kwani palisimikwa majini. Unapaswa kuwaleta watumishi halisi wa Mungu Aliye Hai wakusaidie kusafisha hapo kwa Jina la Yesu!
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270


View: https://www.youtube.com/watch?v=wighxBvPip4
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Wala usiogope hakunaga kafara inayoandikwaga kwa kiswahili hivyo kuwa makini tu usitapeliwe
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Hilo ni herizi choma moto wala usiogope huyo alie kuuzia nyumba hiyo alikuwa mshirikini hapa aliliwa hela wakampa hiyo karatasi na maandishi yaliyo andikwa kwa Zafarani kama ulinzi wake choma moto kisha maisha yaendelee
 
Ndo maana sipendi kununua nyumba ya mtu, aidha nijenge mm au ninunue ivunjwe nianze upya. Kuna mda unakaa nyumba ambayo tyr ina contract na majini
Wewe unaamini sana ulozi,kununua nyumba sio ajabu bhana usimuogopeshe unaweza kujenga walozi wakakufuata tu
 
Hiyo ni equation yenye X 4, solve for x, piga integral by part, imeiaha hiyo, jibu linakuja in 2 decimal point.
🤣😂
 
Comments zote hakuna alieweza kusoma hiko kimemo kama kilivyo, nilijua ukipita madrasa kusoma kiarabu rahisi
 
Back
Top Bottom