Msaada jamani hiki ni nini?

Msaada jamani hiki ni nini?

Hiyo ni zindiko na ilizikwa hapo kwa kwa ajili ya kuzuia wachawi na ushirikina usiingie, ina madhara yake kwa kuwa anaeshi sasa hawezi kufuata masharti yake maana hajui, fuata ushauri wa kuvunja nguvu hizo kupitia imani yako au kama kuna unachoelewa katika elimu za giza.
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukraniView attachment 2919270
Nyumba ilikabidhiwa katika madhabahu ya kichwawi kwa nadhiri ya kutoa kafara kila baada ya muda fulani.
Sasa cha kufanya iitie damu ya Yesu vunja hayo maagano .Kama hufahamu ama hujaokoka omba msaada kutoka kwa watu wa karibu wakusaidie
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukraniView attachment 2919270
CC: Kiranga weka neno hapa.
 
Hapo tiba tayali we endelea kusali tu
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukraniView attachment 2919270
 
Hivi vitu ni imani tu.
Mwaka jana nliemda huko maporini kununua mpunga. Magunia kibao.
Mwaka huu nkaanza kuanika na kukoboa.
Almost kati ya gunia kumi lazma 3 ukute zina ka nailoni kamefungiwa unga mweusi.
Wel, hua navifunua, namwaga kule naaanika nkimaliza nakoboa naenda kuuza.
So far sijapata jam yoyote, plus naokota maokoto very fresh bila ngori yoyote.
In short ukiogopa hizi mambo ndo watakutesa
 
Ndo maana sipendi kununua nyumba ya mtu, aidha nijenge mm au ninunue ivunjwe nianze upya. Kuna mda unakaa nyumba ambayo tyr ina contract na majini
Kwaiyo kiwanja hakiwezi kuwa na contract na majini?
 
Back
Top Bottom