Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 860
- 2,120
Si unaona hapo 'kafala tutatoa'
Ndugu yangu game over hiyo. Pole
Ndugu yangu game over hiyo. Pole
nimescreeshot ili isomeke vizuriKwanini ni screenshot? Wajuvi wanakuja
Tatizo ni kwamba huyu binti ni wife material Lakini Sasa kwa upande wangu sina hisia nae hata kidogo, cha Kushangaza nimempenda binti mwingine ambae pia anamtoto ambae sio wangu.
Nakumbuka mwanamke wangu aliwahi kunianbia akija kugundua nachepuka basi
Niwe mkweli tu, kuzingua nimezingua tena sana lakini nahisi adhabu alionipa ni kubwa mnooo,
mkuu sijaelewa kwanini umeleta hizi thread, mbona hazihusianiIntroduction
Labda ni hao bebe mama zako ndio wamezingua. Inawezekana ndio walio chimbia ndala mlangoni?mkuu sijaelewa kwanini umeleta hizi thread, mbona hazihusiani
Inakuaje Mshana aache ulozi? Hapo atakulaani sana maana umemsingiziaNdio msaada wako ulipoishia siku mshana hachangii mada hizi
Nyumba nyingine unapigwa mijeledi usiku na ukiamka mwili umevimba kama umepigwa mikia ya taaNdo maana sipendi kununua nyumba ya mtu, aidha nijenge mm au ninunue ivunjwe nianze upya. Kuna mda unakaa nyumba ambayo tyr ina contract na majini
Nyumba ilikabidhiwa katika madhabahu ya kichwawi kwa nadhiri ya kutoa kafara kila baada ya muda fulani.Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukraniView attachment 2919270
CC: Kiranga weka neno hapa.Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukraniView attachment 2919270
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukraniView attachment 2919270
Kwaiyo kiwanja hakiwezi kuwa na contract na majini?Ndo maana sipendi kununua nyumba ya mtu, aidha nijenge mm au ninunue ivunjwe nianze upya. Kuna mda unakaa nyumba ambayo tyr ina contract na majini