Kwani aliyekuuzia nyumba hiyo si yupo? Jaribu kumshirikisha ili kama ni mali yake uweze kumkabidhi mzigo wake.Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Unaogopa makaratasi mpaka unayafunguliwa uzi? Hakuna lolote hapo, pengine ni mganga wa kienyeji aliwapiga fedha wamiliki wa mwanzo, akawadanganya ni zindiko la nyumba. Vitu vingine unatakiwa usiendekeze sana. Mimi nimehangaika kuomba mtu yoyote mwenye nyumba yenye majini ambayo imekimbiwa, aniambie nije nilale ndani na mpaka sasa sijapata yeyote. Sehemu wanazoamini usiku majini yanatembea, nimekesha nikitembea lakini sijaona lolote.Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango
Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo
Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.
View attachment 2919270
Hakuna uchawi wa Kiislamu uchawi wowote ni ushirikika na Uislamu unapiga vita sana ushirikinaHuu ni uchawi wa kiislam
Ngoja tuwaite wakutafsirie
Malaria 2
Jagina
adriz
Mufti kuku The Infinity
Sol de Mayo
Mcqueenen
Nyumba kama unainunua toka kwa muislamu inabidi upige maombi makali sana
Hasa waislamu toka ukanda huu wa pwani
🤣🤣🤣Si unaona hapo 'kafala tutatoa'
Ndugu yangu game over hiyo. Pole
Ukaliwe pesa zako uliohangaikia miaka 10 zinaliwa 5 min na mjanja huku akiimba iimbaPole sana mkuu kwa masaada zaidi fika kanisani
Hawajui wanakaririshwa Sunday schoolHakuna uchawi wa Kiislamu uchawi wowote ni ushirikika na Uislamu unapiga vita sana ushirikina
Tarasimu unaijua? Alif huijui halafu unajifanya mjanja humuHiyo inaitwa tarasimu iliekwa kwa LENGO la ulinzi haina shida yeyote, utoe katupe , akuna yesu atakayeweza kukusaidia MAANA ni uwongo pia utajisumbua awo wachungaji nao wanatumia nguvu za MIUJIZA
Haya tupe maana ya hayo majini yaliyozindikwa hapoTarasimu unaijua? Alif huijui halafu unajifanya mjanja humu