Msaada jamani hiki ni nini?

Msaada jamani hiki ni nini?

Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Kwani aliyekuuzia nyumba hiyo si yupo? Jaribu kumshirikisha ili kama ni mali yake uweze kumkabidhi mzigo wake.
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Unaogopa makaratasi mpaka unayafunguliwa uzi? Hakuna lolote hapo, pengine ni mganga wa kienyeji aliwapiga fedha wamiliki wa mwanzo, akawadanganya ni zindiko la nyumba. Vitu vingine unatakiwa usiendekeze sana. Mimi nimehangaika kuomba mtu yoyote mwenye nyumba yenye majini ambayo imekimbiwa, aniambie nije nilale ndani na mpaka sasa sijapata yeyote. Sehemu wanazoamini usiku majini yanatembea, nimekesha nikitembea lakini sijaona lolote.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo ndio nimeamini Waislamu Wa Jf ni Makopo, Kila siku kusoma juzuu na kwenda Chuo, mmeshindwa kutafsiri Hio kitu mumsaidie Mwana?
Au ndio mnalindanaa??

Oya mwamba usioogope, Mwagia mchuzi wa Nyama pendwa, Mudi kwa uchoyo wake akala yeye akawaambia wenzake eti mpaka wawe jangwani
1708695199868.jpg
 
Hiyo inaitwa tarasimu iliekwa kwa LENGO la ulinzi haina shida yeyote, utoe katupe , akuna yesu atakayeweza kukusaidia MAANA ni uwongo pia utajisumbua awo wachungaji nao wanatumia nguvu za MIUJIZA
 
Hiyo inaitwa tarasimu iliekwa kwa LENGO la ulinzi haina shida yeyote, utoe katupe , akuna yesu atakayeweza kukusaidia MAANA ni uwongo pia utajisumbua awo wachungaji nao wanatumia nguvu za MIUJIZA
Tarasimu unaijua? Alif huijui halafu unajifanya mjanja humu
 
Fanya ifuatavyo
Nunua mafuta ya nguruwe lita moja nyunyuzia nyumba nzima kuzunguka nje
Chukua mfupa/mifupa ya nguruwe choma kila chumba moshi usambae ndani
Hapo mbele ya ngazi fukia mfupa mmoja wa nguruwe

Endelea na mambo yako
 
Back
Top Bottom