Msaada jamani hiki ni nini?

Msaada jamani hiki ni nini?

Math 4:8 Alichukuliwa mpaka juu milimani na ibilisi akataka kuhongwa miji ibilisi kama vile yeye siye anayemiliki hiyo miji , utopolo mtupu
Kama mudi alivyofinywa pangoni 😅😅
 
Aisee,
Kiarabu ni kama Lugha nyingine zozote, hata Michael Naweza jua Kiarabu wakati Mohamed anajua vzr kiebrania.
Uache kukariri, nyakati hizi kila kitu ni kinawezekana!
Wewe ndio uliekariri sio Mimi. Kwahiyo kitu chochote kinachohusu uganga mnamsumbua jamaa kisa mmekariri. Waislam koko wa JF wenyewe wameshindwa😂
 
Kama mudi alivyofinywa pangoni 😅😅

Usikimbie msalaba wako huu , ibilisi ndiye alisulubiwa

1709302084872.jpeg
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270

Uislamu na uchawi mbali mbali.

Washirikina ni viumbe waovu kabisa kama Anavyosema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):


إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ فِي نَارِ جَهَنَّمَ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ أُولَٰئِكَ هُمْ شَرُّ الْبَرِيَّةِ
98:6 Al-Bayyinah (The Clear Evidence)
Hakika walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina wataingia katika Moto wa Jahannamu wadumu milele humo. Hao ndio viumbe waovu kabisa.
 
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

View attachment 2919270
Ikojolee Mkuu
Kisha weka Mfupa wa Kitimoto

Cc Mshana Jr
 
Upumbav tu wa kiarabu huo kojolea choma moto hakuna baya lolote... Watu wapuuzi huamini ushirikina
 
Hiyo usiogope,chukua mti wa yombiyombi,changanya na mawe yenye idadi ya familia yako,,kisha mchanga wa nje ya nyumba
 
Back
Top Bottom