Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

sikia inawezekana mi nimejenga kwa 1.5 :- chumba kimoja kinaingia tofali 350
350x1000=300000×2=60000
mchanga unatumia uliochimba kwenye choo.
linter itakugarimu 200000.
fundi kila chumba utampa 150000x2
itabakia laki 7 laki 2 unanuna bati used pale veternar zinatosha vyumba viwili
laki 2 mbao used na kupaua.
itabaki laki 300000
50000 unanua mlango used mkali pale yombo kilakala temeke
50000 utampa fundi akupachikie
itabaki laki 200000
50000 usafiri pamoja na maji
150000 mengineyo. NIULIZE SWALI LOLOTE NIKUSAIDIE KUHUSU UJENZI RAHISI.
 
sikia inawezekana mi nimejenga kwa 1.5 :- chumba kimoja kinaingia tofali 350
350x1000=300000×2=60000
mchanga unatumia uliochimba kwenye choo.
linter itakugarimu 200000.
fundi kila chumba utampa 150000x2
itabakia laki 7 laki 2 unanuna bati used pale veternar zinatosha vyumba viwili
laki 2 mbao used na kupaua.
itabaki laki 300000
50000 unanua mlango used mkali pale yombo kilakala temeke
50000 utampa fundi akupachikie
itabaki laki 200000
50000 usafiri pamoja na maji
150000 mengineyo. NIULIZE SWALI LOLOTE NIKUSAIDIE KUHUSU UJENZI RAHISI.
Beberu umetisha!
 
Ata kiwanja huna asa hiyo 2mil utajenga nini, labda ukajenge mikoani uko tena ndani ndani kabisa
 
Kwa vyumba viwili hata usipomaliza utakua umeezeka,unabakiza finishing ambayo utaifanya ukiwa ndani unakaa
 
Unaweza Ndg yangu ila kwa kwetu uswazi huitwa "nusu mkate".
1)Tofali 800@1,000= 800,00
2)cement 20@15,000= 300,00
3)nondo(linta) 4, mm12@20,000 =80,000 (utalaza 2 )
4)kokoto (linta)ton4 =120,000
5)Bati 30@10,000= 300,000(tazara)
6)mbao 4" x2",20@4000=80,000
7)mbao 2" x2", 20@2000=40,000
8)fundi 300,000
9) madirisha 4@30,000= 120,000 (mbao used au redi made)zvm,
10)milango 2 ya Bati
Jumla kuu 2,100,000/=

NB: gutajenga nyumba kama ya Beyonce ila Utapata pa Kulala na hutolipa Kodi.
Hutaweza kufanya yafuatayo,
1) hutopiga plasta( unnecessary)
2) hutopata choo(compulsory) alternative, tengeneza cha nje cha matairi( kwa muda)
3)hutofanya wiring(necessary)
4) hutofanya fittings za (necessary)
5)hakuna tiles (necessary but not compulsory).

Bro. Kujenga ni kuamua na ndio Maana muuza bamia Kkoo ana banda mbagala lakini mwenye mshahara 1m Kinondoni kapanga.

100,000 defit tafuta mtu mtie sound maisha yaendelee Au kama haiwezekani hiyo basi

jenga chumba mkimoja na choose ( self) Maisha yaendelee
 
Tofari 1400@1000 ni1,400,000.inabaki laki sita .fundi bado,mchanga bado,kokoto bado,mbao bado,nondo bado,maji bado bati bado,misumari bado,kuchimba msingi bado,madirisha na milango bado ,fundi hajaiba kidogo.Labda ujenge mbavu za umbwa.
Wewe ni fundi?
Tafali 1400 kwa chumba na sebure? Kweli mkuu?
 
sikia inawezekana mi nimejenga kwa 1.5 :- chumba kimoja kinaingia tofali 350
350x1000=300000×2=60000
mchanga unatumia uliochimba kwenye choo.
linter itakugarimu 200000.
fundi kila chumba utampa 150000x2
itabakia laki 7 laki 2 unanuna bati used pale veternar zinatosha vyumba viwili
laki 2 mbao used na kupaua.
itabaki laki 300000
50000 unanua mlango used mkali pale yombo kilakala temeke
50000 utampa fundi akupachikie
itabaki laki 200000
50000 usafiri pamoja na maji
150000 mengineyo. NIULIZE SWALI LOLOTE NIKUSAIDIE KUHUSU UJENZI RAHISI.
Nondo na kokoto,maji,mbao,misumari,choo,madirisha,kuchimba msingi?
 
unaweza japo litakuwa banda na sio nyumba ambayo inaweza kukusitiri unahitaji tofari zisizopungua 1200 vyatua mwenyewe kwa kila mfuko tofari 40 unaweza ukagushi mpaka 45 ila maji mengi baada ya kuzivyatua na pia unapojenga saruji iwe kali. mifuko 30 ya cement itahitajika amboyo ni sawa na 360,000/-
utahitaji lory tano za mchanga wastani wa lory moja 120,000/- sawa na 600,000/-
nondo mbili mm12 sina uhakika na bei lakini inaweza kuwa 40,000/-
saruji ya kujengea kila tofari 60 mfuko mmjoa mifuko 20 sawa na 240,000/-
malango weka wa bati kwa dharura na madilisha weka kwanza wa mbao rahisi kila dirisha 30,000 madilisha manne 120,000/-
kitu bati bwana! weka bati la mstaafu gaji 30 au 32 kama zipo kila bati ukizunguka vizuri linaweza kuwa 8000/- unahitaji baji kama 30 sawa 240,000/-
mbao tenga 200,000/-
inabaki laki mbili fundi zinamfaa kabisa mpaka kuezeka.

sasa mafundi karibuni kwa data sahihi ila kwa kifupi unaweza kukamilisha kwa zaidi ya asilimia 75.
tofari 1200 chumba na sebule mkuu?
 
Umemjibu vizuri sana. Kwanza hapo alipo unaweza kukata hata hiyo 2m kaishaipunguza kutokana na matamanio ya anasa ya siku hizi. Namshauri Leo au kesho asubuhi atafute mafundi wa mitaani wa bei rahisi kama ramani anayo wakachimbe msingi na kununua tofari 1000 kwasababu chumba cha kawaida ukianzia kwenye msingi chenye pembe 4 utumia tofari 300. Kwa 2 ni 600 zinazobaki 400 ni msingi na kozi mbili baada ya renta. Hiyo 1m inayobaki nunua mbao za kujengea na kuezekea na mabati ya bei rahisi! Mambo mengine piga sound uamie kwako.
mawazo mazuri. Lazima tupeane moyo sio kukatishana tamaa
 
Back
Top Bottom