Nile_house_designs
JF-Expert Member
- Nov 13, 2020
- 481
- 524
Mawazo yako kama Mimi shida sijapata mtu wa kunishauli
Mkuu njoo pm tuyajenge, tutashauriana kuhusu design inayofaa kwa eneo lako na namna ya kujenga kulingana na uwezo wako
Mawazo yako kama Mimi shida sijapata mtu wa kunishauli
Ni kweli kabisa....wazoefu wa hili msaada kidogo kwake.Kwa wazoefu hebu msaidieni jaman, kupanga kuna rudisha maendleo ya watu nyuma hasa kwa hapa mjini
Ni room ngapi ChoiceVariable15m kwa kila kitu
Lipia kodi buana, si kila mtu angekuwa na nyumba 😂Habari zenu wakuu,
Kwenye shughuli zangu za hapa na pale nimepiga bingo nna milion mbili cash ndani nataka kuondokana na maisha ya kupanga nna kiwanja Goba-Mbezi, je nitaweza kujenga vyumba viwili nikaamia kwa gharama ya milioni2.
Msaada wenye uzoefu please