Nile_house_designs
JF-Expert Member
- Nov 13, 2020
- 249
- 338
Mawazo yako kama Mimi shida sijapata mtu wa kunishauli
Mkuu njoo pm tuyajenge, tutashauriana kuhusu design inayofaa kwa eneo lako na namna ya kujenga kulingana na uwezo wako
Mawazo yako kama Mimi shida sijapata mtu wa kunishauli
Ni kweli kabisa....wazoefu wa hili msaada kidogo kwake.Kwa wazoefu hebu msaidieni jaman, kupanga kuna rudisha maendleo ya watu nyuma hasa kwa hapa mjini
Ni room ngapi ChoiceVariable15m kwa kila kitu