Kwa mtu asiye na kipato cha uhakika kunarudisha nyuma mkuu, kwa mwenye mzunguko mkubwa wa pesa kupanga yaweza kuwa rahisi kuliko kujenga!!!!Kwa wazoefu hebu msaidieni jaman, kupanga kuna rudisha maendleo ya watu nyuma hasa kwa hapa mjini
Mkuu tofali 1400 unajua zinajenga nyumba ya room 3 masterbed room, stoo, jiko na sebuleTofari 1400@1000 ni1,400,000.inabaki laki sita .fundi bado,mchanga bado,kokoto bado,mbao bado,nondo bado,maji bado bati bado,misumari bado,kuchimba msingi bado,madirisha na milango bado ,fundi hajaiba kidogo.Labda ujenge mbavu za umbwa.
watu wanaanza kujenga na hela ndogo kuliko hiyo, kama mchicha, baadaye boma zuri tu...Kabisa jf imejaa walioshindwa kazi yao kukatisha tamaa wengine.
kama ameweza kupata milion 2 hatashindwa kupata laki tatu za kujenga chooMkuu vipi hukugusia huduma ya choo, au atumie cha bei rahisi kwenye vichaka???
teh..teh... huu ni ujenzi wa thamthilia tena mara nyingi unashinikizwa na kina mama (wake zetu) utafikiri tumewatoa ikulu wakati tunawaoa!Aisee...I luv JF
Labda kweli ngoja nipige hesabu ya choo/bafu cha kawaida
Choo na tank 180,000
Sink na mguu wake 150,000
Taps 50,000
Shower kit 150,000
Tiles 120,000
Tiles ukutani 120,000
Hapo tayari kama 700,000
Bado matofali,cement,bati,mbao,kokoto
hilo mbwebwe watu wanaamia kwanza kwenye vumbi kisha kila mwezi ile kodi ya nyumba inasaidia kuboresha sehemu ya nyumba.Bado zege mkuu
Kiongozi inavyoonesha umekulia maisha ya kitajiri sanaChoo vipi?
Ceiling board/gypsum?
Vifaa vya umeme?
Plumbing?
Plaster/rangi?
Rough floor ndani?
au anapanga matofali tu anaishi bila umeme,maji na choo?
Kwani huyu amespecify anataka nyumba ambayo haina hivyo vitu? Btw nakaa uswazi kuweka hivyo vitu haihitaji uwe tajiri.Kiongozi inavyoonesha umekulia maisha ya kitajiri sana
Toka uko masaki njoo huku uswazi uone mtu kajenga nyumba ya vyumba sita haina maji,umeme,plaster na watu wana furaha na amani tembea uone!
Hivi huyu jamaa amesema anataka nyumba yake iweje?Mkuu usikate tamaa subili iyo iongezeke au jenga banda la makuti itatosha.
Kaghorofa mshenzi.
Kwahio bajeti haitakuwa 2m tena itakuwa 2.3mkama ameweza kupata milion 2 hatashindwa kupata laki tatu za kujenga choo