Kutumia miguu miwili AUTO? labda udereva wa vichochoroni, Auto Mguu mmoja wa kulia unatosha, sababu kubwa ukitumia mguu wa kushoto kwenye Break hautakuwa umekaa vizuri au kama miguu yako inamatege is okey.Kumbe sikutaja aina ya transmission, ni auto mkuu. Wengi wanaotumia auto hutumia miguu yote, wakushoto breki na kulia mafuta. Wengi wanaotumia mguu mmoja wakati wakuendesha auto hujikuta kosa moja goli, wengi wanafanya hivyio ili kuepuka kupata ajali ya kugonga gari la mbele yako hasa kwenye foleni. Unaweza kufikiri unakanyaga breki kumbe mguu hujaamisha vizuri kutoka kwenye mafuta.