Msaada - Gari yangu inakula sana mafuta

Msaada - Gari yangu inakula sana mafuta

Mimi naendesha aina zote mbili za auto na manual, lakini hata kwa Auto mguu wa kushoto unatakiwa utulie tu. Kama unaendesha kwa mtindo huo pole mkuu huo si uendeshaji na huwezi kunishawishi kwamba mguu wa kushoto utumike kukanyaga break eti kwa sababu ni AUTO.

Labda nikuulize, umewahi kuendesha MANUAL kama umewahi, huwezi kufanya kosa la kuuleta mguu wa kushoto kwenye break kwa sababu ''cratch'' inabidi iende na ''break'' yaani mguu wa kulia ukikanyaga break ule wa kushoto ukanyage cratch vinginevyo gari itazima. Naomba kusahihishwa kama nimekwenda tofauti, JF ni sehemu ya kuelimishana.

sio cratch ni clutch
sio break ni brake
 
Mi gari yangu kwa upande wa mafuta naifurahia sana. Yaani nikiishiwa mafuta naenda kupaki tu "sheli",


Ile harufu tu ya Petrol inatosha sana so after a time ikishanusa harufu ya Petrol vya kutosha nasepa
 
mara nyingi driving pia huchangia ulaji wa mafuta kwa kiasi kikubwa. jaribu kuendesha hilo gari ili hali ukizuia rpm kupita mbili. hata kama rpm haivuki mbili unaweza pata speed uitakayo just uvumilivu kidogo.
Huu ushauri siyo sahihi. usahihi ni rpm isivuke 3 kwa gear 2,3 na 4. i.e kila rpm ikifika 3 badilisha gear. Ukibadilisha gear wakati RPM iko 2 utatumia mafuta mengi zaidi. ndiyo maana kwa mijini gari zetu hutumia mafuta zaidi kwa sababu siyo rahisi kwa mjini kutokana na msongamano kufikisha 3 rpm ii ubadilishe gear.
 
Kumbe sikutaja aina ya transmission, ni auto mkuu. Wengi wanaotumia auto hutumia miguu yote, wakushoto breki na kulia mafuta. Wengi wanaotumia mguu mmoja wakati wakuendesha auto hujikuta kosa moja goli, wengi wanafanya hivyio ili kuepuka kupata ajali ya kugonga gari la mbele yako hasa kwenye foleni. Unaweza kufikiri unakanyaga breki kumbe mguu hujaamisha vizuri kutoka kwenye mafuta.
Mh! Itakuwa nimesahau gari nn, miguu yote miwili unaendeshaje auto?
 
Huu ushauri siyo sahihi. usahihi ni rpm isivuke 3 kwa gear 2,3 na 4. i.e kila rpm ikifika 3 badilisha gear. Ukibadilisha gear wakati RPM iko 2 utatumia mafuta mengi zaidi. ndiyo maana kwa mijini gari zetu hutumia mafuta zaidi kwa sababu siyo rahisi kwa mjini kutokana na msongamano kufikisha 3 rpm ii ubadilishe gear.


Kumbuka gari ya huyu mkuu ni Automatic kwa maana inabadili gear yenyewe, ndio maana huyo jamaa uliyem-quote akashauri kua ni uvumilivu kidogo uki-control rpm isivuke 2 na gear zitakua zikijibadili na kufikia mwendo ambao mtu anautaka kuliko kukanyaga mafuta hadi rpm inafika 4 au kuzidi hapo utakua UNAINYWESHA mafuta ya ziada.

Huko kubadili wewe mwenyewe gear ni kwa manual transmission ambayo ulaji wa mafuta unakua controlled na mtu anavyobadili gear kwa wakati muafaka kulingana na mahitaji ya gear husika.
 
Tatizo lako mkuu unatoa partial information , mpaka sasa hujakuwa wazi ni gari gani!
 
Kwa ushauri wangu, kama unatumia auto kwa uendeshaji huu uliousema basi nakushauri uache kabla hujapatwa na ajali mbaya sana. ....auto inaendeshwa kwa mguu mmoja tu Tena wa kulia. ....auto Haina clutch hivyo unapotoa mguu Kwenye pedal ya mafuta kwenda kukanyaga break gari haitozima. ...na pia kwa kutumia mguu wa kulia ndio utaiendesha gari kwa usalama zaidi
Mkuu nimesema sio mimi ila nimeshuhudia watu zaidi ya watatu wakitumia staili hiyo mmoja wapo mke wangu, na mimi nikawauliza kama wewe, walichoniambia kwa upande fulani kina mantiki. "Mmoja alisema aliamua kutumia staili hiyo kutokana na yeye mguu wake wa kushoto ndiyo wenye nguvu zaidi ya kulia, sawa na mikono ya watu wengine hutofautiana nguvu na hata matumizi, wengine hutumia hata mkono wa kushoto kuandika au kula chakula. So huwezi kumlazimisha mtu anayetumia mkono wa kushoto kutumia wa kulia."

Mwingine alisema, "kuna jamaa yake mmoja aliwahi kugonga mti akiwa anapaki gari ofisini, jamaa alihamisha mguu bila kuangalia vizuri akidhani anakanyaga brake kumbe thleluthi ya mguu wake bado ilikuwa juu ya pedal ya mafuta, ile anatua mguu kwenye pedal akidhani ni brake alishuhudia gari ikiruka na kuvaa mti". Jamaa kasema toka siku hiyo ni heri atumie yote awe na uhakika kwamba akiinua mguu kutoka kwenye pedal ya mafuta anajua kuna back up ya mguu wa kulia kwa ajili ya ku-brake incase ikitokea amekosea na gari kuondoka ghafla.

NB: Mke wangu anaendesha auto transmission na anatumia miguu yote miwili wa kushoto brake na kulia mafuta hasa akifika kwenye tight jam ili kujilinda na kugonga gari ya mbele kwa miaka takribani kumi sasa na hajagonga hata bata wa mtu.

Tuwe wa kweli ni kweli vyuoni tunafundishwa namna hata ya kuweka mkono kwenye usukani, je niwangapi kati yetu barabarani tuna-implement hiyo? Tunashudia kila siku watu wanaendesha magari wakitumia mkono mmoja, wengine wanatuma msg au kuchat kabisa.
 
hata hizi auto mara nyingi kule upande wa kushoto kuna kadubwana fulani wamekaweka kanakuwa kanasupport mguu kama vile gari za manual ila hiyo ya mguu wa kushoto kukanyaga brake na kulia kukanyaga mafuta ndo nausikia leo.. yawezekana mkuu hukupitia veta nini...
 
Mkuu nimesema sio mimi ila nimeshuhudia watu zaidi ya watatu wakitumia staili hiyo mmoja wapo mke wangu, na mimi nikawauliza kama wewe, walichoniambia kwa upande fulani kina mantiki. "Mmoja alisema aliamua kutumia staili hiyo kutokana na yeye mguu wake wa kushoto ndiyo wenye nguvu zaidi ya kulia, sawa na mikono ya watu wengine hutofautiana nguvu na hata matumizi, wengine hutumia hata mkono wa kushoto kuandika au kula chakula. So huwezi kumlazimisha mtu anayetumia mkono wa kushoto kutumia wa kulia."

Mwingine alisema, "kuna jamaa yake mmoja aliwahi kugonga mti akiwa anapaki gari ofisini, jamaa alihamisha mguu bila kuangalia vizuri akidhani anakanyaga brake kumbe thleluthi ya mguu wake bado ilikuwa juu ya pedal ya mafuta, ile anatua mguu kwenye pedal akidhani ni brake alishuhudia gari ikiruka na kuvaa mti". Jamaa kasema toka siku hiyo ni heri atumie yote awe na uhakika kwamba akiinua mguu kutoka kwenye pedal ya mafuta anajua kuna back up ya mguu wa kulia kwa ajili ya ku-brake incase ikitokea amekosea na gari kuondoka ghafla.

NB: Mke wangu anaendesha auto transmission na anatumia miguu yote miwili wa kushoto brake na kulia mafuta hasa akifika kwenye tight jam ili kujilinda na kugonga gari ya mbele kwa miaka takribani kumi sasa na hajagonga hata bata wa mtu.

Tuwe wa kweli ni kweli vyuoni tunafundishwa namna hata ya kuweka mkono kwenye usukani, je niwangapi kati yetu barabarani tuna-implement hiyo? Tunashudia kila siku watu wanaendesha magari wakitumia mkono mmoja, wengine wanatuma msg au kuchat kabisa.

Wewe unaendeshaje hiyo Auto? Jaribu kumshauri mke wako aache kutumia mguu wa kushoto kukanyaga brake, hii imetokana na kuanzia kuendesha gari ya Auto, you never know kuna siku atakuja kwenye manual transmission hapo ndo kitakua kimbembe. Angeanza na gari ya manual hicho kitu usingekiona. Lakini mzee na wewe huoni huo ukakasi ukiwa naye anapokanyaga brake kwa mguu wa kushoto??? Usichukulie kwamba amekua ktk hali hiyo kwa 10 years bila shida, rekebisha hilo ni TATIZO.
 
ni auto au manual? kwa hiyo Engine capacity na aina ya engine ni kweli inabugia wala sio inakula. kama mwanzon ilikuwa fresh basi kuna tatizo limejitokeza, hasa kwenye fuel system, kuanzia fuel pump nozzle, kama ni auto check pia na gear box oil (ATF) huenda inashindwa kubadilisha gear hivyo inakuwa inatembea kwa gia moja muda mrefu licha ya RPM kuwa kupanda, jaribu kuhakikisha RPM haipandi sana wakati bado gari mwendo wake mdogo. ila kubadilisha nozzles sio ushauri wa kitaalamu maana ni sawa na wewe mtu akuambia unapumua sana toa poa moja. hapo unaupa mfumo mzima wa upumuagi taabu, hizo basi kubadilisha nozzle sio long term solution bali ni kuuwa nguvu ya gari maana unilisha gari mafuta kidogo na yenyewe imepimwa ni kiasi gani cha mafuta kinahitajika ili mzunguko ukamilike na kwa nguvu gani. wajapan sio wazembe kuweka 4 nozzles kwa CC hizo. usifuate ushauri wa mafundi wa by road sides, nenda kwa wataalamu na wenye vifaa vya diagnostic, gari ichekiwe watajua hitalafu iko wapi kwa kuona kama results za vipimo zinaenda sawa au laah. kuna error codes pia zinaweza kuwaambia shida uko wapi na ni kifaa gani hakifanyi kazi yake ipasavyo. kama sensors na timings.
Ni gaia ya 1999. CC 1990
 
Na mfungo huu wa ramadhan bado tu inakula, hiyo wapatie wakristo.
 
Yaani nadhani kati ya km nne au tano kwa lita moja. Wafundi wanasema nibadilishe nozzle niweke za tundu mbili maana zilizopo ni nne. Je itasaidia?

Nakubaliana na wengine waliotangulia kuwa inabidi tujue kubwa wa injini (engine capacity) ya gari lako kwanza.
 
Kumbe sikutaja aina ya transmission, ni auto mkuu. Wengi wanaotumia auto hutumia miguu yote, wakushoto breki na kulia mafuta. Wengi wanaotumia mguu mmoja wakati wakuendesha auto hujikuta kosa moja goli, wengi wanafanya hivyio ili kuepuka kupata ajali ya kugonga gari la mbele yako hasa kwenye foleni. Unaweza kufikiri unakanyaga breki kumbe mguu hujaamisha vizuri kutoka kwenye mafuta.

. Mmmmmmmh!!!!
 
Mkuu pgsoft2008 bado natafakari hiyo concept ya kutovuka rpm 2 na its relevance in minimising fuel consumption. Unaweza kuja na technical explanation kidogo juu ya hili?

Mkuu hekimatele RPM stands for rotation/revolution per minute na inahusisha movement ya pistons kwenye engine. Combustion i.e burning of a mixture of fuel and air occurs when piston are at the top level. kwa ufupi more RPM more fuel + air burning which implies to a more fuel consumptions and the opposite is true
 
Mkuu nimesema sio mimi ila nimeshuhudia watu zaidi ya watatu wakitumia staili hiyo mmoja wapo mke wangu, na mimi nikawauliza kama wewe, walichoniambia kwa upande fulani kina mantiki. "Mmoja alisema aliamua kutumia staili hiyo kutokana na yeye mguu wake wa kushoto ndiyo wenye nguvu zaidi ya kulia, sawa na mikono ya watu wengine hutofautiana nguvu na hata matumizi, wengine hutumia hata mkono wa kushoto kuandika au kula chakula. So huwezi kumlazimisha mtu anayetumia mkono wa kushoto kutumia wa kulia."

Mwingine alisema, "kuna jamaa yake mmoja aliwahi kugonga mti akiwa anapaki gari ofisini, jamaa alihamisha mguu bila kuangalia vizuri akidhani anakanyaga brake kumbe thleluthi ya mguu wake bado ilikuwa juu ya pedal ya mafuta, ile anatua mguu kwenye pedal akidhani ni brake alishuhudia gari ikiruka na kuvaa mti". Jamaa kasema toka siku hiyo ni heri atumie yote awe na uhakika kwamba akiinua mguu kutoka kwenye pedal ya mafuta anajua kuna back up ya mguu wa kulia kwa ajili ya ku-brake incase ikitokea amekosea na gari kuondoka ghafla.

NB: Mke wangu anaendesha auto transmission na anatumia miguu yote miwili wa kushoto brake na kulia mafuta hasa akifika kwenye tight jam ili kujilinda na kugonga gari ya mbele kwa miaka takribani kumi sasa na hajagonga hata bata wa mtu.

Tuwe wa kweli ni kweli vyuoni tunafundishwa namna hata ya kuweka mkono kwenye usukani, je niwangapi kati yetu barabarani tuna-implement hiyo? Tunashudia kila siku watu wanaendesha magari wakitumia mkono mmoja, wengine wanatuma msg au kuchat kabisa.

Mi bado ntakukatalia kuhusu hoja zako hasa unaposema mguu wake wa kushoto una nguvu. ...mimi mwenyewe natumia kila kitu kushoto toka utoto wangu lkn linapokuja suala La kudrive wala huitaji nguvu nyiiiingi kukanyaga pedal. ...gari yenyewe hata ukiwa kwenye foleni hata usipokanyaga mafuta bado utakuwa inasogea sasa kuna haja gani ya kutumia miguu miwili?
 
Itakuwa forester subaRu kwakweli wenye hizi gari wapeni heshima tena kwa dar na foleni inameza lita kwa 3km.wakienda sheli mafuta yao akiweka ya bei ndogo ni laki unappoagiza gari uwe unauliza fundi haswaa kwny upatikanaji wa spea na ulaji mafuta.
 
Back
Top Bottom