Msaada - Gari yangu inakula sana mafuta

Msaada - Gari yangu inakula sana mafuta

fanya hivi ijaze full tanki alafu sukuma hadi nyumbani kwako, lipaki kwenye banda lake kama lipo , usiwashe engine hata siku1 ww washa taa tu na redio piga honi kila kitu alfu angalia kama litakula hayo mafuta



Kha ha ha ha ha ha haaaaaaaa! Mbavu zangu jamani! Member wengine vituko jamani!
 
Kuwa wider,gar aina gan,kabla ilikuaje,umeshawai fanyia overwhole?thn rud upate ushaur mkuu.

Gaia mkuu. Ya mwaka 1999 na imeingia tz jan 2013 na sasa ina km 89000. Haijawahi fanyiwa overwhole. Mwanzoni ilikuwa fresh
 
Yaani nadhani kati ya km nne au tano kwa lita moja. Wafundi wanasema nibadilishe nozzle niweke za tundu mbili maana zilizopo ni nne. Je itasaidia?
nenda kwa fundi ambaye ni mtaalam akurekebishie kitu kinachoitwa 'throttle' ili kuwe na uwiano unaofaa kuingia katika engine kati ya hewa na mafuta. Inavyoonekana throttle haijakaa vizuri hivyo kuingiza sana mafuta.
 
Yaani nadhani kati ya km nne au tano kwa lita moja. Wafundi wanasema nibadilishe nozzle niweke za tundu mbili maana zilizopo ni nne. Je itasaidia?

Mkuu ni gari gani? A tuned Chevy Camaro?..kama ndivyo basi ni kawaida kabisa!
 
fanya hivi ijaze full tanki alafu sukuma hadi nyumbani kwako, lipaki kwenye banda lake kama lipo , usiwashe engine hata siku1 ww washa taa tu na redio piga honi kila kitu alfu angalia kama litakula hayo mafuta

Mmh jamani, huruma kwa muulizaji....yaani umeniacha hoi kwa kucheka.

Ila mtoa mada hajatenda haki, hasemi hata gari ni aina gani na ina uezo gani labda watu wangemshauri. Sasa kama ni V8, kuna suala la kusikitikia mafuta?
 
La kwangu ni SPACIO ya mwaka 2008, lina tatizo hili.
 
Mmh jamani, huruma kwa muulizaji....yaani umeniacha hoi kwa kucheka.

Ila mtoa mada hajatenda haki, hasemi hata gari ni aina gani na ina uezo gani labda watu wangemshauri. Sasa kama ni V8, kuna suala la kusikitikia mafuta?
Nimesema gaia
 
nenda kwa fundi ambaye ni mtaalam akurekebishie kitu kinachoitwa 'throttle' ili kuwe na uwiano unaofaa kuingia katika engine kati ya hewa na mafuta. Inavyoonekana throttle haijakaa vizuri hivyo kuingiza sana mafuta.

Asante sana kaka
 
Nunua lingine mkuu. Usinunue gari ambalo hunauwezo wa kulihudumia mkuu
 
mara nyingi driving pia huchangia ulaji wa mafuta kwa kiasi kikubwa. jaribu kuendesha hilo gari ili hali ukizuia rpm kupita mbili. hata kama rpm haivuki mbili unaweza pata speed uitakayo just uvumilivu kidogo.
Mkuu pgsoft2008 bado natafakari hiyo concept ya kutovuka rpm 2 na its relevance in minimising fuel consumption. Unaweza kuja na technical explanation kidogo juu ya hili?
 
Last edited by a moderator:
Yaani nadhani kati ya km nne au tano kwa lita moja. Wafundi wanasema nibadilishe nozzle niweke za tundu mbili maana zilizopo ni nne. Je itasaidia?
Mkuu inawezekana kweli gari yako ikawa na tatizo lakini pia angalia na uendeshaji wako. Kuna baadhi y awatu nimeshuhudia yupo kwenye foleni amekanyaga breki pedal lakini bado mguu upo kwenye mafuta gari, au unakuta yupo kwenye mteremko lakini bado anaona raha kukanyagia mafuta.

Kama ndiyo hivyo pia unaweza kutafuta mtaaalamu akakupa shule ya udereva wa kiuchumi (economical driving).
 
Yaani nadhani kati ya km nne au tano kwa lita moja. Wafundi wanasema nibadilishe nozzle niweke za tundu mbili maana zilizopo ni nne. Je itasaidia?

Pole ndugu,hebu jaribu kuchungulia hii link: www.samarins.com wana maelezo mazuri sana ya namna kutengeneza gari na kupunguza fuel consumption,
 
Back
Top Bottom