Msaada; asanteni kwa ushauri ila nimetumia dakika tano tu

Msaada; asanteni kwa ushauri ila nimetumia dakika tano tu

Makaura

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
892
Reaction score
295
Hi MMU.

Ni mara nyingi nimekua nikilalamika humu juu ya swala la kuuzwa ama kuchomeshwa mahindi na wadada. Wengi mmenishauri akiwepo mkuu Kilaza alieamua kutupa somo kwa madomo zege asanteni kwa yote.

Kwa ushauri wenu na pamoja na kupitia vizuri uzi wa mkuu Kilaza hatimaye leo nimefanikiwa kumpata na kumpeleka hotel yenye hadhi ya kati, lakini cha kusikitisha nimetumia dakika tano tu kufanya mambo na kila kitu kikaishia hapo(just one goal), sikuweza tena kabisa kufanya chochote.

Wadau ndio ilivyo kwa wote ama,msaada tafathali.
 
duh..u butu wewe, kajinoe mkubwa..japokuwa mapenzi ni starehe..
 
sasa udomo zege kwisha kinachofuatia jifunze stamina uwe mzinzi kamili. Wengine tupo ktk harakati za kuachana na hizo habari kwa sala na maombi
 
Back
Top Bottom