Msaada; asanteni kwa ushauri ila nimetumia dakika tano tu

Msaada; asanteni kwa ushauri ila nimetumia dakika tano tu

Me Siku ya kwanza nilikaa dk chini ya 3;Sasahivi hata dk 45 nafika.Kuna literatures nyingi za kusoma namna ya kuji-control ili ukae muda mrefu.Jipe moya na siku 1 utakaa hadi ufukuzwe/ukimbiwe
 
Me Siku ya kwanza nilikaa dk chini ya 3;Sasahivi hata dk 45 nafika.Kuna literatures nyingi za kusoma namna ya kuji-control ili ukae muda mrefu.Jipe moya na siku 1 utakaa hadi ufukuzwe/ukimbiwe

ndugu niokoe na hii aibu...embu niambie basi
 
sasa udomo zege kwisha kinachofuatia jifunze stamina uwe mzinzi kamili. Wengine tupo ktk harakati za kuachana na hizo habari kwa sala na maombi

Naomba nikusaidie kuomba I'll uache haraka kama Mimi.
 
Hawezi ridhika.Wataalam wanasema mwanamke akiandaliwa vizuri.Anaridhika baada ya dk 11!



Usibishe sana. Kama umekuwa mzinzi na wadada wengi utajua kuwa asemacho kina ukweli. Wapo wanaofika eldoret in two mins, wakati wapo wanaokesha hadi unahisi upo na mtu asiye na hisia...! Watu hutofautiana kwa mengi....!
 
Ushauri wangu ni huu.

1.Acha wasi wasi eneo la tukio.Tulia&Jiamini,epuka papara.

2.Kuna vyakula kama Tangawizi&pilipil.........,....,.... vinaongeza msukumo wa Damu na hivyo kukuwezesha kurudia round ya pili,tatu ......
Most of wanaume ni lazima kuna interval kidogo ya break kila baada ya round(bao.....),ni wachache wanaweza uunganisha rotations.Ukimaliza round ya kwanza,mzee kulala is normal ,jifanye unampigisha story then mzee ata-erec.....
3.Nenda google search literatures with a title "How to last longer on bed ...".
 
Ushauri wangu ni huu.

1.Acha wasi wasi eneo la tukio.Tulia&Jiamini,epuka papara.

2.Kuna vyakula kama Tangawizi&pilipil.........,....,.... vinaongeza msukumo wa Damu na hivyo kukuwezesha kurudia round ya pili,tatu ......
Most of wanaume ni lazima kuna interval kidogo ya break kila baada ya round(bao.....),ni wachache wanaweza uunganisha rotations.Ukimaliza round ya kwanza,mzee kulala is normal ,jifanye unampigisha story then mzee ata-erec.....
3.Nenda google search literatures with a title "How to last longer on bed ...".

aise ndugu nimekupata vizuri na shukrani sana Allah akupe wepesi,
point ya kwanza nakubaliana nilikua na papara sana maana mgeni wangu alikua akilalamika kua anataka kuondoka toka muda tumeonana yeye ni kulalamika. pili naye ntamlaumu sana maana hakua na ushirikiano wowote kabisa just alilala tu na kubaki kusema mie naondoka.
 
Usibishe sana. Kama umekuwa mzinzi na wadada wengi utajua kuwa asemacho kina ukweli. Wapo wanaofika eldoret in two mins, wakati wapo wanaokesha hadi unahisi upo na mtu asiye na hisia...! Watu hutofautiana kwa mengi....!

Maybe.Hizo dk 11 ni kwa mjibu wa tafiti."but there are exceptions".mwanamke Mwingine anaweza ridhika dk 2 ,mwingine hata baada ya lisaa bado kabisa........
Nakubaliana na wewe mdau
 
Back
Top Bottom