Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Ni kweli nimeishiwa, kama hwa hapa chini........
Naona umeishiwa na hoja.
Naona umeishiwa na hoja.
Mtoto kajaza mfuzi huyu! Duh, ndo maana mjumbe wa bunge la katiba kutoka Zenji alilalamika!
Waswahili ndio watu gani!??Sahihisho, kanzu na burqah ni sehemu pia ya tamaduni za Waswahili, nadhani FaizaFoxy nae yumo katika kundi la hao Waswahili.
Tutampanguwa katika kura za maoni, hana akili ya kuwa mbunge wa CCM, ahamie chadema, walikojazana tuliwaenguwa kwenye kura za maoni, mfano mzuri ni Dokta wa kanoni na gongo, Slaa.
Ni binadamu..Alijitahidi kwa upande wake..Hata alipoachia madaraka alikiri..Nakumbuka alisema hivi..
Serikali ya awamu ya kwanza imefanya mazuri na ya kijinga pia..Ila ubaya wetu tunaacha mazuri tunachukua ya kijinga..
Dada FaizaFoxy tatizo la Mpoto amechukua tabia ya CCM ."Kujisifu uongo"
Kweli anajisifu kwa mambo ambayo hajafanya,Lakini hakuwa hivi..Hii ni baada ya kampeni za CCM.. 😉
Labda unifundishe maana nimeeleza vielelezo viwili tu vya utamaduni ambao ni Lugha na mavazi wewe waweza kuongezea vingine au ukavikataa nilivyoeleza na kufundisha vya kwako kwa faida ya wengi kusema tru kwamba ninaelewa utamaduni na sifa zake it is 2 general
Nimejaribu kuonyesha chanzo cha tatizo Dada FaizaFoxy ..Lazima ukweli usemwe ..
Mpoto ameharibiwa na Siasa..
Hata kama anavaa Pengo, lakini sio utamaduni wetu!!.Usisahau kuwa kanzu ni tamaduni pia ya Kanisa Katoliki, kama unabisha google "Pengo" uone anavyovaa.
ndio nani huyo mrisho mpoto!?
Na wewe jifunze kusoma na kuelewa!!,Nani aliosema ni utamaduni wako? nimeandika ni "utamaduni wa kanisa katoliki" Jifunze kusoma na kuelewa unachokisoma.
Mkuu punguza mashambulizi, utamuua huyu m'mama, have mercy please!!!Matusi ya rejareja nayo ni matusi tu Mamie. Jifunze kujadiliana bila ghadhabu na kama huwezi basi njia nyeupe.
Nimeshasikia matusi mengi sana na kama huamini, hebu msikilize Tyson na jipime kama unaweza kumzidi mara mbili
WARNING: For your own RISK, Open it: Mike Tyson's "I 'll ---- you till you love me,fagg*t!!" - YouTube