Mrisho Mpoto, pumba tupu

Mrisho Mpoto, pumba tupu

huyu jamaa nlimshusha thamani kuna siku nimemuona viwanja ea starehe akiwa kakikumbatia kitoto kidoooogo. kama huo ndio utamaduni basi sawa
Kitoto kidogo au kijike kidogo kuna vidume mbegu fupi kondefu kama kabint cha 15yrs kumbe kina 30plus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajisifu sana huyu kenge....kuna mtu niliwahi kumwambia huyu jamaa haishi uhalisia wake,yaani anataka kuish maisha fulani,mwishowe anaishia kuishi fake life....
Kuna siku nilipanda nae ndege ya kampuni ya As Salaam kwenda Zenji,anatembea peku na mashuka ya ajabu anafikiri ndio utamaduni...huyu ni mchumia tumbo kama wengine,wale wanaofuga rasta ili wapate vizee vya.kizungu...he is not cultural in deeds

Hata ndege asingepanda. Angepanda punda. Na nguo asivae. Avae magome ya miti Ili kuenzi huo utamaduni.
 
Huyu jamaa ni mchumia tumbo, mwanzoni nyakati za JK, nilimuona ni kama mtu mwenye msimamo wa kukosoa maovu! Lakini kwenye huu utawala wa mtukufu yote anaona yapo sahihi! Ameelewa wazi ya kuwa mtukufu hataki kukosolewa.
 
Ni kweli ameongea. Amejitahidi sana kutrejesha utamaduni unaopotea hasa kwenye lugha na mavazi. Ninavyoangalia avatar yako naona na wewe u mkimbizi wa utamaduni hasa kwenye mavazi, umevaa UARABU wakati wewe ni Mtanzania
Kwahyo utamaduni Wa MTANZANIA NI KUTEMBEA PEKUPEKU? maana hata mwanzo alikuwa akitembea tumbo wazi na KIKAPTULA,,,nilimsikia siku moja anahojiwa ktk TV anaongea PUMBA TUPU,,
 
Aliwahi kunukuliwa akiwa Moshi kuwa Magufuli ni sawa na Mungu
 
Back
Top Bottom