Safi sana, CCM ni chama cha wengi, na hii picha inadhihirisha CCM hatuna ubaguzi.
Swala la utamaduni wa nyumbani tanzania vipi'!!!
Safi sana, CCM ni chama cha wengi, na hii picha inadhihirisha CCM hatuna ubaguzi.
Huyo ndie mgombea ubunge jimbo la Namtumbo kwa tiketi ya ccm 2015, wapiga kura jiandeni sana
Tutampanguwa katika kura za maoni, hana akili ya kuwa mbunge wa CCM, ahamie chadema, walikojazana tuliwaenguwa kwenye kura za maoni, mfano mzuri ni Dokta wa kanoni na gongo, Slaa.
Hujatukanwa unalalama kuwa umetukanwa, jee, ukitukanwa si utasema umepigwa bomu.
Matusi ya rejareja nayo ni matusi tu Mamie. Jifunze kujadiliana bila ghadhabu na kama huwezi basi njia nyeupe.
Nimeshasikia matusi mengi sana na kama huamini, hebu msikilize Tyson na jipime kama unaweza kumzidi mara mbili.
WARNING: For your own RISK, Open it: Mike Tyson's "I 'll ---- you till you love me,fagg*t!!" - YouTube
Yamekushinda ya ration na ratio sasa unakuja na uzushi wa matusi?
Mpoto ni majanga.
Unaendelea kuonesha upunguani wako. Hata wanaokusoma wanakushangaa, Uislaam na CCM imehusu nini?
Alilalamikaje mkuu?Mtoto kajaza mfuzi huyu! Duh, ndo maana mjumbe wa bunge la katiba kutoka Zenji alilalamika!
Kuanzisha CCM kungekuwa kuna maana sana angefanya ya maana ndani ya CCM, alichokifanya ni kuiuwa nchi na kuiacha hohe hahe.