kweyamba_dave
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 961
- 484
Sahihisho, kanzu na burqah ni sehemu pia ya tamaduni za Waswahili, nadhani FaizaFoxy nae yumo katika kundi la hao Waswahili.
hili lisilete mzozo naliongea tu ila liishie hapa hapa.kanzu wala si tamaduni za waswahili.tamaduni za mswahili ni zile zilizokutwa na wageni wote waliofika kwenye pwani ya wasawahel(waswahili) kanzu na burqashia zililetwa na waarabu hivyo hizo si tamaduni za kiswahili bali za waarabu.
ila jambo jema ni kuwa tamaduni hupokea na kutoa hivyo kupelekea kuwa na mwonekano tofauti kadri muda unavyoyoma.ndio maana leo hii utakapoongelea tamaduni za kimavazi kwa watu wa pwani kanzu imekuwa vazi mughibu kwao ila utamaduni huu haukuwa wa waswahili
Last edited by a moderator: