Bakari Shemngodo
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 269
- 40
Huyo jamaa ni 'Z'.
Teh, teh, teh, nimefurahi sana Kiongozi. Kumbe kufuga rasta unaweza kuibua vizee vya kizungu!Anajisifu sana huyu kenge....kuna mtu niliwahi kumwambia huyu jamaa haishi uhalisia wake,yaani anataka kuish maisha fulani,mwishowe anaishia kuishi fake life....
Kuna siku nilipanda nae ndege ya kampuni ya As Salaam kwenda Zenji,anatembea peku na mashuka ya ajabu anafikiri ndio utamaduni...huyu ni mchumia tumbo kama wengine,wale wanaofuga rasta ili wapate vizee vya.kizungu...he is not cultural in deeds
mashairi yenyewe haya make sense
Hata hivyo nimefarijika kuona pumba master na yeye kakerwa na mashudu..
Akuteuliwa kwa mjumbe Wa katiba mkulu alimsahau jamaa anajifanya kilakitu anakijua makonde yule
huyu jamaa nlimshusha thamani kuna siku nimemuona viwanja ea starehe akiwa kakikumbatia kitoto kidoooogo. kama huo ndio utamaduni basi sawa
Habari za siku nyingi. Huo ni utamaduni wa CCM.
Acha wivu wa kijinga mkuu!Ulimuuliza huyo unayemwita kitoto ana umri gani?Au ulitaka akumbatie mwanamke mnene sana ama kikongwe ndio umpandishe thamani?Ndio maana M 7 hataki watu wa dizaini yenu!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kwa hali hii niende CHADEMA kufuata nini!!?
Kwa hali hii niende CHADEMA kufuata nini!!?
Ni kweli ameongea. Amejitahidi sana kutrejesha utamaduni unaopotea hasa kwenye lugha na mavazi. Ninavyoangalia avatar yako naona na wewe u mkimbizi wa utamaduni hasa kwenye mavazi, umevaa UARABU wakati wewe ni Mtanzania